Hon Shabiby atetea abiria

Hii case nineshindwa kuielewa kabisaa...yaani wanaotetea saana ni wamiliki wa mabus,ma agent na madalali wao ila nashangaa abiria wenyewe ambao ndio wahusika mbona hawalalamiki saana kam hao wahusika wenyewe au Mimi ndo nashindwa kuelewa
 
Hii case nineshindwa kuielewa kabisaa...yaani wanaotetea saana ni wamiliki wa mabus,ma agent na madalali wao ila nashangaa abiria wenyewe ambao ndio wahusika mbona hawalalamiki saana kam hao wahusika wenyewe au Mimi ndo nashindwa kuelewa
Hata wateja wakijitete Bado mtawadharau. Bora wamiliki waingilie kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…