Hon. Freeman Mbowe chairman

Mntumia nguvu nyingi kumkashifu Mbowe na kumdharau,,,lkn eleweni ungozi si elimu,,,ungozi ni karama, kipaji na majaliwa. wapo watu na na madegree yao lakini walipopewa madaraka wakawa mafisadi na waharibu nchi. acheni unafiki juu ya hili.
 
Ndiyo maana wanaitolea katiba mpya machozi. Ana haki ya kumwogopa msomi Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mwinyi alikuwa na elimu ya madrassa tu akaongoza taifa. Elimu ya kufugia majini ya Mwinyi hamkuiona hadi mnamshambulia Mbowe?

acha ufa.la wewe,wale wanaokemeaga majini kwenye vipindi maalum vya Tv NI DINI GANI?
 
Wakuu tujadili mambo ya muhimu kama mfumuko wa bei, madawa ya kulevya, kushuka kwa elimu, huduma mbovu hosptalin, ardhi, ufisadi, madini, mikataba feki nk, hivyo tuachane na CV za watu makamanda kwan sio agenda ya msingi kwa sasa.

Umeguswa sehemu nyeti eeh
 
Ndiyo maana wanaitolea katiba mpya machozi. Ana haki ya kumwogopa msomi Zitto.

Siku hizi tuna wasomi wasioamini katika kukabiliana na changamoto kwa mbinu za kisayansi badala yake wanajivunia ushirikina hadharani
 
Last edited by a moderator:

Huwa anawaongoza wazazi huko kwenye disco.
 
Mzee Mwinyi alikuwa na elimu ya madrassa tu akaongoza taifa. Elimu ya kufugia majini ya Mwinyi hamkuiona hadi mnamshambulia Mbowe?

Wacha ulongo wewe, Mwinyi ni Mwalimu by profession!
 
Kwa hiyo katiba mpya ikipita na ile kifungu ya kuwa na Bachelor ili uweze kuwa mgombea Urais inamtoa nje automatically!
 
Ni kilaza ile mbaya.

Aina hii ya maneno ni ya kishabiki zaidi

Hata kama unaweza kuwa na chuki binafsi kwa mtu unaweza hata kuona aibu wakati unamfanyia mambo au kumsemaea mambo ambayo hata nafsi yako inakusuta

Unaweza kuandika chochote kile kwa kuwa una haki ya kufanya hivyo,lakini kushindwa kujitendea haki wewe mwenyewe kwenye yale unayoyafanya kwa kujidanganya na kujilisha vitu vya hovyo utaonekana wa ajabu sana!
 
Mimi najuwa Mbowe ana uwezo mkubwa sana kiakili kuliko hata hao wenye madegree yao, hata high school ulipata Division one pale mkwawa sikutofautishi sana na Mnyika ambae nae high school alipata A zoooooooote. Kama ni entry qualifications unazo uwezo wa kulipa ada chuo chochote duniani unao. Je kwasababu elimu haina kuchelewa si utenge tu miaka mitatu ukagonge kanyuzi angalau kamoja tuuuuuuuu? Huoni kama hii itatupunguzia maneno na kashfa ndani na nje ya chama?
 
Siku hizi tuna wasomi wasioamini katika kukabiliana na changamoto kwa mbinu za kisayansi badala yake wanajivunia ushirikina hadharani
Na wengine wanaukana hadharani ilhali mifukoni mwao wanabeba unga mwekundu kuondoa uhai wa wapinzani wa mabwana zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…