Nkamangi
(God in this case) was to create new human creature, he/she or it should revisit the use of anus to overcome the controversy of your logical view? Na kama binadamu amekuwa mbunifu kuliko huyo aliyemuumba, kwa nini aliyemuumba asifanye haraka kubadilisha matumizi ya viungo hivi (kama si kuboresha) ili asionekane kuzidiwa maarifa na kiumbe alichokiumba? Hapa namaanisha aumbe binadamu watakaokuwa hawatibui mfumo wa logic (kwa sasa), until further notice! Je muumbaji haoni kwamba binadamu ana haki ya kutumia ubunifu wake kwa kwa mwili wake kama anavyofanya kwa sayansi na teknolojia?
Mimi nimewaza tu kwa sauti kulingana na nadharia yako ya kupinga homosexuality, na nimetumia Mungu kama rejeo, labda uniambie unamzungumzia/ unakizungumzia kitu kingine kilichohusika na uumbaji