Homa ya ATCL yawakumba Fastjet

Homa ya ATCL yawakumba Fastjet

Naona Mzee Shirima na Precision yake amekomaa kibishi.
Anawezeshwa na KQ ili awasaidie route za NBO-ZNZ, NBO-JRO, NBO-MWZ na NBO-DAR.....infact hata KQ wamebanwa mbavu na ET coz nao wamenunua Malawian Airlines (kuteka soko la Southern African countries) na ASKY (West Africa)...
**Pia Rwandair ni potential threat kwa route za ENTEBBE, LUSAKA na HARARE
 
Naona Mzee Shirima na Precision yake amekomaa kibishi.
Anawezeshwa na KQ ili awasaidie route za NBO-ZNZ, NBO-JRO, NBO-MWZ na NBO-DAR.....infact hata KQ wamebanwa mbavu na ET coz nao wamenunua Malawian Airlines (kuteka soko la Southern African countries) na ASKY (West Africa).
 
Anawezeshwa na KQ ili awasaidie route za NBO-ZNZ, NBO-JRO, NBO-MWZ na NBO-DAR.....infact hata KQ wamebanwa mbavu na ET coz nao wamenunua Malawian Airlines (kuteka soko la Southern African countries) na ASKY (West Africa)....
Mi nilidhani kwa kuwauzia zile 49% watakua wanamhujumu ili aje apotee kwny ramani halafu waingie mazima kwa kununua zile 51% maana kuna kipindi MD akiwa yule Mkenya hali ya precision ilikua ni tete balaa.

Ila points zako nimezielewa sana,zina make sense sana.
 
Mi nilidhani kwa kuwauzia zile 49% watakua wanamhujumu ili aje apotee kwny ramani halafu waingie mazima kwa kununua zile 51% maana kuna kipindi MD akiwa yule Mkenya hali ya precision ilikua ni tete balaa.

Ila points zako nimezielewa sana,zina make sense sana.
**MD wa sasa pia ni Mkenya. Rwandair nao ni potential threat kwa KQ kwa route za East and West Africa hasa Lagos. Pia Dubai
 
**MD wa sasa pia ni Mkenya. Rwandair nao ni potential threat kwa KQ kwa route za East and West Africa hasa Lagos. Pia Dubai
Thnxs for the info mkuu,nimeona Uganda,Burundi zinafufua mashirika yao ya ndege.

Hopefully zitaleta competition poa.
 
Thnxs for the info mkuu,nimeona Uganda,Burundi zinafufua mashirika yao ya ndege.

Hopefully zitaleta competition poa.
Ni kweli ila Uganda kitumbua kimeingia mchanga coz walitegemea pesa za msaada ama mkopo (sikumbuki vizuri)sasa wamezuia sijui kama itakwamisha au vipi.
**Kufufuliwa ATCL ni hatua kubwa japo watu wanakebehi la muhimu menejimenti iwe yenye weledi na uendeshaji wa mashirika ya ndege sio tu bora mtu tu mwenye PhD
 
Katika ile hali inayoonekana ya ushindani katika usafiri wa anga kufuatia ujio wa dreamliner ya Atcl,kampuni ya ndege fastjet imeanza kuruhusu abiria kusafiri na begi lisilozidi uzito wa 23kg pasipo malipo ya ziada pamoja na kugawa viburudisho mbalimbali ndani ya ndege.
Kwa hakika ushindani unaleta tija tunaomba makampuni mengine yaje ili nauli pia zishuke bei
View attachment 828667
VITA VYA PANZI NI FURAHA YA KUNGURU
 
Hahaha nilidhani homa ya mafua ya ndege, ni uze chanjo.
 
Thnxs for the info mkuu,nimeona Uganda,Burundi zinafufua mashirika yao ya ndege.

Hopefully zitaleta competition poa.
Uganda & Burundi kufufua itachukua muda maana sidhan kama wana pesa ya kuleta Madege kama yetu. Tutumie udhaifu wao kunufaika
 
Back
Top Bottom