Homa ya ATCL yawakumba Fastjet

Homa ya ATCL yawakumba Fastjet

Kweli halafu sasa hivi nauli za Fast jet zipo juu kuliko za ATCL
 
Katika ile hali inayoonekana ya ushindani katika usafiri wa anga kufuatia ujio wa dreamliner ya Atcl,kampuni ya ndege fastjet imeanza kuruhusu abiria kusafiri na begi lisilozidi uzito wa 23kg pasipo malipo ya ziada pamoja na kugawa viburudisho mbalimbali ndani ya ndege.
Kwa hakika ushindani unaleta tija tunaomba makampuni mengine yaje ili nauli pia zishuke bei
View attachment 828667
Kwa hiyo ndo wanataka kumfanyia figisu mosha ili ashindwe kwenye zile zake
 
Biashara Ushindani. Chonde chonde Serikali isije leta Jeuri ya Maamuzi ya kidola eti kulinda Ndege ya Taifa wawe wapole wasome upepeo washindane katika wakati mgumu na kama wako vizuri kiutendaji na Kihuduma watatoka kifua mbele. cc Pascal Mayalla
 
Nimechek fastjet dar to kia 30/8 ni tsh 208,000# sijui dreamliner itakua ni sh.ngapi kama bado inaenda huko lkn.
Dream ilikuwa 68,000/= Fast jet sasa hivi wako juu sana upande wa nauli. Mimi nilifanya booking mwezi wa 4 ya kusafiri mwezi wa 6 mwanafunzi kutoka Dar kwenda Mbeya nikalipa 87,800 lakini sasa booking hiyo hiyo labda kwa miezi miwili au mitatu ijayo ni 233,000/= wakati ATCL inasoma 160,000/= Wataanza kukimbiwa na wateja muda sio mrefu!
 
Dream ilikuwa 68,000/= Fast jet sasa hivi wako juu sana upande wa nauli. Mimi nilifanya booking mwezi wa 4 ya kusafiri mwezi wa 6 mwanafunzi kutoka Dar kwenda Mbeya nikalipa 87,800 lakini sasa booking hiyo hiyo labda kwa miezi miwili au mitatu ijayo ni 233,000/= wakati ATCL inasoma 160,000/= Wataanza kukimbiwa na wateja muda sio mrefu!
hv kwenye ndege kuna nauli ya mwanafunzi?
 
Back
Top Bottom