FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Ni kweli Mkuu.Ile vita coka walikuwa wamelala! Walivoshtuka tayari Pepsi wameshapiga sana hela na sokoni wamejiimarisha zaidi!
Ile vita haijawaacha coka salama, mpaka Leo bado wanasrago"
Pepsi walipata chochoro na hawakulaza damu, na walifika mbali sana.