Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,984
- 95,503
Hahahahaaa... itakuwa umeona kivuli kinakatiza. Btw, hali yako naona ni njema sana mkuu
Salamu ziwafikie shemegi yangu arusha one, dadangu Mpendwa Lady doctor, sijamsahau kabisa Mpendwa Wangu Smile huko ulikojificha, Mentor mwenyewe Salamu zako kutoka muccobs, jamani zikufikie Wewe wadada pendwa na Mimi Charity na miss chagga
Nitakuwa sio Mimi kabisa bila kuwapa Salamu hizi utafiti,@ excel Mr Rocky, watu8 mwenyewe, mabinamu zangu wapendwa ladyfurahia, Heaven on Earth, nitakuja tena eh....
Koh kooh! Nilitoka mara moja ila nimerudi best.. nimepitwa na nini?
Jammani jamani!!!!! Ivi bigi dee zote hizi zilizotukabili wewe umejichimbia tu afu unauliza umepitwa na nini??????????
You cant be serious!!!!!!!
Ivi umzima lakini?
Nimezipokea kaka mkubwa kabanga #teamrafiki wooote naomba mupokee salam zangu
Heheheee.... najuta kuuliza kwa sauti kubwa! Nipo salama kabisa, wasiwasi wangu kwako
Kaka huu ubaguzi umeuanza lini?
Hivi ni kweli [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teambazazi]#teambazazi [/URL] z not allowed?
salam kwa First Born najikumbuka mwenyewe maana naona hata mama mkwe kanipiga teke pamoja na kula mahari yangu kwa mwanae romantic eyes...
cc Khantwe...
Nawapenda sana. Salaam zangu za upendo Kwa JF Arusha Wing, JF Dar Wing, JF Mwanza Wing, JF Tanga Wing, JF Dodoma Wing, JF Mbeya Wing, JF Diaspora, JF Headquarters na wings zooote pamoja na individuals.
Nawatakia sherehe zenye upendo na AMANI mwaka mpya we ye mafanikio.
Amen.