REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,158
- 11,258
Sasa hivi kila mkoa na wilaya wakuu wa wilaya sijajua ni maagizo au vipi wana kundi la vijana wanaita jeshi la akiba hao vijana wanapatiwa mafunzo ya kijeshi kabisa na wakufunzi wa jeshi sasa sote tunajua jeshi la akiba ni migambo na wanatambulika sasa hili kundi la vijana walikusanywa na kupewa mafunzo ya kijeshi nje ya mfumo rasmi unaotambulika lengo lao ni hasa na tumesikia hapa kuwa kuna kontena la vifaa vya kijeshi lilizuiwa bandarini ikiwa ni vifaa ambavyo jeshi hawajagiza
Mkisema hoja hii ni porojo kwa sababu hatujaona ushahidi wa picha au video lakini je hoja ngapi huyu dada kazitoa na zimekosa wakujibu tunaenda wiki ya tatu hii ananika ufisadi wa mkuu wa usalama wa taifa, mtoto wa Rais na washirika wake nani katoka kusema ni uongo si msemaji wa serikali wala nani yani tunapigwa matukio tunajifanya hayatuhusu wazee hapana this is too much watu wanapaswa muda huu kuwa gerezani uko na hayo magari tumeyauza kwa mnada
Madogo vyuoni boom wananyimwa
Vijana wanahitumu vyuo ajira hakuna
Wanajenga mashule na mahospital kwa mikopo uko wanashindwa leta vifaa tiba na watumishi majengo yamejaa kila kona watendaji hawapo majengo ya pesa za mikopo arafu tunajisifu
Bila aibu wanakuja kwenye kampeni eti mkitichagua tutawapa ajira 7000 ndani ya siku mia hija anatoa mtu aliye madarakani aisee hawa janaa wanatuonaje sisi unajua inauma washatuona washamba hatujitambui wanataka tupeleka wanavyotaka.
Pia soma >>> Tuhuma za Ufisadi wa kutisha nchini zinazoibuliwa na Mange Kimambi katika vyombo vyetu vya Usalama zinahitaji ufafanuzi
Mkisema hoja hii ni porojo kwa sababu hatujaona ushahidi wa picha au video lakini je hoja ngapi huyu dada kazitoa na zimekosa wakujibu tunaenda wiki ya tatu hii ananika ufisadi wa mkuu wa usalama wa taifa, mtoto wa Rais na washirika wake nani katoka kusema ni uongo si msemaji wa serikali wala nani yani tunapigwa matukio tunajifanya hayatuhusu wazee hapana this is too much watu wanapaswa muda huu kuwa gerezani uko na hayo magari tumeyauza kwa mnada
Madogo vyuoni boom wananyimwa
Vijana wanahitumu vyuo ajira hakuna
Wanajenga mashule na mahospital kwa mikopo uko wanashindwa leta vifaa tiba na watumishi majengo yamejaa kila kona watendaji hawapo majengo ya pesa za mikopo arafu tunajisifu
Bila aibu wanakuja kwenye kampeni eti mkitichagua tutawapa ajira 7000 ndani ya siku mia hija anatoa mtu aliye madarakani aisee hawa janaa wanatuonaje sisi unajua inauma washatuona washamba hatujitambui wanataka tupeleka wanavyotaka.
Pia soma >>> Tuhuma za Ufisadi wa kutisha nchini zinazoibuliwa na Mange Kimambi katika vyombo vyetu vya Usalama zinahitaji ufafanuzi