Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,408
- 2,266
Nimekuwa nikifanya follow-up ya hoja za Lisu jukwaani ambazo kwa sasa zimesambaa kwa Kasi sana karibu kila usafili wa ardhini, majini na angani wanafuatilia very closely
Kwanza jamaa ana akili sana anajua aongee nini na wakati gani. Anajua aongee nini na adui atarespond vipi ili ammalize kabisa.
Sasa ccm wamechanganyikiwa na kuparaganyika kabisa mpaka jpm amewaomba msamaha akina JK, Kinana na Nape wamsaidie Maana wale akina Bashiru na Polepole huu mziki hawauwezi.
Kwa sasa Bashiru hata haeleweki ni mc au katibu mkuu. Amebaki kupuyanga tu hata anajuta kupokea kile kijiti kilichomshinda mkama
Wananchi wamekuwa consciatitized kwelikweli kiasi kwamba kura zikiibiwa za Lisu wanaweza kuvaa hata mabomu kujilipua na nchi hii ikawa kama Libya.
Kinachomchanganya JPM zaidi ni kwamba aliamini anapendwa sana kumbe ulikuwa one-man show tu.
Ajira ajira ajira ndio bomu vijana wamechoka kila siku kusikia mziki wa ndege huku wansugua mtaani hawajui hata chai wanywe vipi na wakati huohuo wanakejeliwa tu kwamba wajiajiri.
Kwanza jamaa ana akili sana anajua aongee nini na wakati gani. Anajua aongee nini na adui atarespond vipi ili ammalize kabisa.
Sasa ccm wamechanganyikiwa na kuparaganyika kabisa mpaka jpm amewaomba msamaha akina JK, Kinana na Nape wamsaidie Maana wale akina Bashiru na Polepole huu mziki hawauwezi.
Kwa sasa Bashiru hata haeleweki ni mc au katibu mkuu. Amebaki kupuyanga tu hata anajuta kupokea kile kijiti kilichomshinda mkama
Wananchi wamekuwa consciatitized kwelikweli kiasi kwamba kura zikiibiwa za Lisu wanaweza kuvaa hata mabomu kujilipua na nchi hii ikawa kama Libya.
Kinachomchanganya JPM zaidi ni kwamba aliamini anapendwa sana kumbe ulikuwa one-man show tu.
Ajira ajira ajira ndio bomu vijana wamechoka kila siku kusikia mziki wa ndege huku wansugua mtaani hawajui hata chai wanywe vipi na wakati huohuo wanakejeliwa tu kwamba wajiajiri.