Mleta mada umeangalia upande mmoja tu. Kitu ambacho hujagundua ni kuwa ni lazima mwanasiasa azungumze lugha inayoeleweka kwa watu anaowatetea. Hivi anayozungumzia Dr Slaa ndio kero halisi za wananchi na kwa kusema hivyo anazungumza lugha inayowaelea.
Kuzungumza data, takwimu za uchumi na mambo yanayofanana na hayo si majukwaani, ni kwenye makongamano, warsha, na kn
Kuzungumza data, takwimu za uchumi na mambo yanayofanana na hayo si majukwaani, ni kwenye makongamano, warsha, na kn