Hoja ya Zitto Kabwe dhidi ya Pinda sasa yaimarika!


[MENTION]Anadetus[/MENTION].......tz ni ubabaishaji mwingi maneno maneno matupu hayavunji mfupa..................lakini siye tunaamini maneno matupu ambayo hayatupeleki popote pale..........
 

Unstoppable tunachohitaji kwenye katiba mpya ni kukataa wabunge kushika wadhifa zaidi ya ubunge tu.....huu uwaziri bandia utakuwa umefikia kikomo.............
 
Last edited by a moderator:

Morinyo uko kwenye mstari ugumu wa maisha ndiyo utatufumbua macho na kutaka kujua kiini cha matatizo yetu yot tena.....lol
 
Last edited by a moderator:

Manumbu hawa watu wangelikuwa wanatufuatilia tunachosema kwenye mitandao baadhi ya o nafsi zingeliwasuta na kuachia ngazi bila ya kusubiri kudhalilishwa vile............
 
Last edited by a moderator:
[MENTION]
Mr Rocky[/MENTION]..........................aluta ndiyo kwanza continua...............
 

Mkwai umejieleza vizuri lakini kumbuka katiba mpya tayari imekwishachakachuliwa kwa kutuwekea watu bomu ambao hata hatujui wamewapata vipi.................na wamejiwekea mabunge mawili ya kutumalizia.....huku wakidai kura ya maoni ndiyo itatupa madaraka ya kuamua kile wao wanakitaka siye sisi.......kwa hiyo katiba mpa haitakuwepo bali marekebisho ya katiba tu............
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…