Exactly! Wao walichakachua kura za maoni za wabunge wakapitisha watu wao wakijua kabisa, waziri ni lazima awe mbunge. Sasa kama una-wabunge wa aina ya Lusinde, Maji Marefu, Vicky Kamata etc utawapata wapi mawaziri wachapakazi? JK wala asilalamike eti amejitahidi ooh please! JK & Co walijua wanachokifanya au la, hawakuweza kuona mbali zaidi ya urefu wa pua zao. Utasemaje umejitahidi kutafuta mawaziri wakati ulianza na wabunge ambao ni below standard? Ukishakuwa na wabunge wababaishaji umeshaji-limit kabisa kwenye kuchagua mawaziri wanaofaa. Ndio yanakuja haya yakumwapisha mtu the same day na uwaziri juu. In general, hawa watu hawako serious kabisaa; awamu hii imezidi ubabaishaji.