Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
- Thread starter
- #101
Nimepata picha sasa kuwa Pinda yuko pale kwa kuwa kabanwa sheria zilizopo. Cha msingi tusubiri kura za kina Zitto.
NB: ndugu Cookie na wenginewe unganisha hii kitu kule kwa Rutashubanyuma tafadhaliLast edited by Raia Fulani; Yesterday at 23:46.
[MENTION]Raia Fulan[/MENTION]i..........sheria inayombana Pinda ni unafiki wake wa kuzaliwa nao..................hahitaji kuendelea kuwa serikalini ili aendelee kula...pensheni yake tayari ipo sasa huu ufisadi anaotufanyia wa nini..............but his sin will definitely find him out...............Numbers 32:23