lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,481
Nyakati zinabadilika aisee,inaonesha Tanzania ya nyakati hizi imekuwa na wajinga wengi kuliko nyakati za kale.
Leo hi Mtanzania anyepinga ndege za Magufuli halafu akaonekana anapanda ama anashuka ndani ya Ndege hizo Basi Lumumba B7 watamsema.kwamba alikua anapinga Nini na amepanda Nini.
Hoja ya kuzipinga ndege hizo iko hivi.
-zimenunuliwa bila kufuata sheria za ununuzi.cash badala ya credit basis.
- Serikali ya Mkapa iliona ni vema kuachana na serikali kufanya biashara,na biashara ya Ndege iliachwa kwa watu binafsi.
Serikali ya Magufuli ilifitini kampuni binafsi za ndege.mfano Fastjet.
-kwa sababu Hakuna Fastjet Sasa watu hawana shirika jingine la ndege hivyo kulazimisha Kupanda ndege za Magufuli pekee.kwa sabahu watu wanahitaji kusafiri.
Ikumbukwe Usafiri wa Ndege haukuanzishwa na Magufuli.
Usafiri ulikuwepo toka Zama za EastAfrika.
Watu wapande ndege gani wakati Kuna shiirika moja tu.
Kulikua Kuna Fastjet, amabyo ilihudumia Watanzania wenye kipato Cha kati.kulikua Kuna sababu gani kuitoa?
Je Ni Watanzania wangapi wanamudu Usafiri wa Ndege? Je ndege Ni kipaumbele muhimu kwa Watanzania wengi?
Je Mkapa alikua mjinga kufanya serikali iachane na biashara na yenyewe ibaki kuchukua Kodi tu?
Hivyo kwa mtazamo wangu naona wanaozipinga ndege za Magufuli wao wanapinga kuanzia mchakato wa kuzinunua,(cash),pili,sio kipaumbele muhimu kwa Watanzania wanyonge,Tatu zimajiendesha kwa hasara .
Wao aaliona Ni Bora fedha iliyoyumika kuzinunua ingejenga mahospitalini na mashule yatakayohudumuia Watanzania wanyonge wengi,nayo biashara ya Ndege wakaachiwa wafanyabiashara na wawekezaji
...........
Leo hi Mtanzania anyepinga ndege za Magufuli halafu akaonekana anapanda ama anashuka ndani ya Ndege hizo Basi Lumumba B7 watamsema.kwamba alikua anapinga Nini na amepanda Nini.
Hoja ya kuzipinga ndege hizo iko hivi.
-zimenunuliwa bila kufuata sheria za ununuzi.cash badala ya credit basis.
- Serikali ya Mkapa iliona ni vema kuachana na serikali kufanya biashara,na biashara ya Ndege iliachwa kwa watu binafsi.
Serikali ya Magufuli ilifitini kampuni binafsi za ndege.mfano Fastjet.
-kwa sababu Hakuna Fastjet Sasa watu hawana shirika jingine la ndege hivyo kulazimisha Kupanda ndege za Magufuli pekee.kwa sabahu watu wanahitaji kusafiri.
Ikumbukwe Usafiri wa Ndege haukuanzishwa na Magufuli.
Usafiri ulikuwepo toka Zama za EastAfrika.
Watu wapande ndege gani wakati Kuna shiirika moja tu.
Kulikua Kuna Fastjet, amabyo ilihudumia Watanzania wenye kipato Cha kati.kulikua Kuna sababu gani kuitoa?
Je Ni Watanzania wangapi wanamudu Usafiri wa Ndege? Je ndege Ni kipaumbele muhimu kwa Watanzania wengi?
Je Mkapa alikua mjinga kufanya serikali iachane na biashara na yenyewe ibaki kuchukua Kodi tu?
Hivyo kwa mtazamo wangu naona wanaozipinga ndege za Magufuli wao wanapinga kuanzia mchakato wa kuzinunua,(cash),pili,sio kipaumbele muhimu kwa Watanzania wanyonge,Tatu zimajiendesha kwa hasara .
Wao aaliona Ni Bora fedha iliyoyumika kuzinunua ingejenga mahospitalini na mashule yatakayohudumuia Watanzania wanyonge wengi,nayo biashara ya Ndege wakaachiwa wafanyabiashara na wawekezaji
...........