Hoja ya Muungano yalifunika baraza la wawakilishi


unatapatapa na ubaguzi, nilitegemea unaniambia kuwa zanzibar ina wanazuoni 1000 na wote wapo baraza la wawakilishi!huyo mwanazuoni katoa mchango gani katika hiyo zanzibar? yu wapi, amefanya nini cha maana? amekutuma umtangaze?chema cha jiuza, Field Marshal Okello ni bora mara 10.0000 huyo mwanazuoni. Ila jengo la baraza la wawakilishi ni zuri sana
 

Shughuli gani hizo ?za uganga wa uongo na kupiga madezoo?' au kuuza matunda mitaani? Ebu usinichefue nataka kuangalia euro saahizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…