WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 8,265
- 7,846
Hoja hoja juu ya hoja na siyo tusi juu ya tusi.Mama yako
Hoja hoja juu ya hoja na siyo tusi juu ya tusi.Mama yako
Wameanza kupigana mabusuHabari wana jamvi,
Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.
Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya Halima na wenzake haipo kabisa midomon mwa viongozi kuna nini.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania yaliyo mahakamani hayajadiliwi mitaaniHabari wana jamvi,
Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.
Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya Halima na wenzake haipo kabisa midomon mwa viongozi kuna nini.
Surechadema ilishawafukuza hao malaya wao ndio wanatapatapa mahakaman.