lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Hoja kama hizi ccm wataweza kuzibu kweli kwenye majukwaa ya kisiasa ?hoja ya masheh,na hoja ya watoto wa kike kupata elimu wanapokuwa wamepata mimba wasirudi shule?
Maana ni hoja nzito sana kwenye jamii,na ni hoja zinye masilay makubwa sana kwenye makundi muhimu sana kwenye jamii?au itakuwa ndio ile mnapigana ngumi alfu ukizidiwa unamngata mpinzani mwenzako?
Maana ni hoja nzito sana kwenye jamii,na ni hoja zinye masilay makubwa sana kwenye makundi muhimu sana kwenye jamii?au itakuwa ndio ile mnapigana ngumi alfu ukizidiwa unamngata mpinzani mwenzako?