Hoja hii dhidi ya Shaka ni upuuzi

UGANDA

Member
Jul 24, 2017
71
75
HOJA HII DHIDI YA SHAKA NI UPUUZI

Na Bollen Ngetti

RAIS SSH katika kukwamua uchumi uliodorora kufuatia janga la Covid-19 na matumizi ya hovyo ya Fedha za umma ametafuta na kupata 1.3 Trilioni kutoka IMF.

Fedha ambayo ameelekeza kutumika hapa hapa nchini kwenye miradi ya maendeleo na hivyo pesa yote hii itazunguka humu humu nchini. Lakini akasema, "wengi wanajua mimi ni mweupe hapana, ukitaka kujua rangi yangu halisi wewe dokoe fedha hizi". Hii ni salaam.

Lakini, haikuishia hapo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Ndugu Shaka Hamidu Shaka naye akapigilia msumari wa moto, "ole wake atakayejaribu kudokoa fedha hizi kinyume na maelekezo ya matumizi yake, atakutana na rungu la usoni". Kwamba Shaka anasisitiza alichokisema Iron Lady, Samia.

Sasa, kuna hoja ya kipuuzi inaundwa na lile kundi lililoweka masharti ya kipuuzi ya kukutana na Msajili wa Vyama likidai, "Kwani ni kazi ya Shaka kuwaonya watendaji wa Serikali au kazi yake ni kueneza Itikadi ya chama?" Kwamba Shaka hana hayo Mamlaka.

Hoja dhaifu na ya kipuuzi sana. Iko hivi watani na wazoefu wa Mahakama, Serikali ya Samia ilipewa ridhaa na wananchi walioamua kuipa ushindi CCM. Kwamba, CCM ndiye mwenye duka na Serikali ni mwajiriwa tu.

Ni CCM ilimadi ilani yake 2020 na wananchi wakaikubali na kukichagua na hivyo kukipa ridhaa ya kuunda Serikali. CCM ni bosi wa Rais SSH.

Ifikapo 2025 Serikali ikiboronga umma utawauliza CCM na si Serikali. Hivyo CCM lazima ihakikishe Serikali yao inatekeleza walichoahidi wasije kukosa majibu 2025.

Shaka ni Msemaji wa chama. Kauli yake ina baraka zote za chama. Kwa mantiki hiyo anapoongea Shaka ni CCM wenye dhamana wameongea. Ndio maana anao uwezo wa kukagua miradi ya maendeleo yote ni kuhakikisha Serikali inatekeleza ilani yao.

Kazi ya Uenezi si kutangaza chama tu. By the way, nchi ni wapi CCM hakijulikani hadi ukakitangaze? CCM si chama chenye ngome upande fulani wa nchi kama kilivyo kile saccos ya babamke. Hapana.

Hizi 1.3 Trilioni zitanufaisha wananchi wote. Hakuna atakayebanwa mbavu kwa Covid-19 akanyimwa mtungi wa oksijeni kisha yeye ni Ufipani, hapana. Kwa hiyo sote tuunge mkono kauli ya Shaka, ina tija kwetu.

#MguseMamaNinuke

IMG-20211012-WA0082.jpg
 
UPUUZI MTUPU!!!! Mombasa unaenda lini?

HOJA HII DHIDI YA SHAKA NI UPUUZI

Na Bollen Ngetti

RAIS SSH katika kukwamua uchumi uliodorora kufuatia janga la Covid-19 na matumizi ya hovyo ya Fedha za umma ametafuta na kupata 1.3 Trilioni kutoka IMF.

Fedha ambayo ameelekeza kutumika hapa hapa nchini kwenye miradi ya maendeleo na hivyo pesa yote hii itazunguka humu humu nchini. Lakini akasema, "wengi wanajua mimi ni mweupe hapana, ukitaka kujua rangi yangu halisi wewe dokoe fedha hizi". Hii ni salaam.

Lakini, haikuishia hapo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Ndugu Shaka Hamidu Shaka naye akapigilia msumari wa moto, "ole wake atakayejaribu kudokoa fedha hizi kinyume na maelekezo ya matumizi yake, atakutana na rungu la usoni". Kwamba Shaka anasisitiza alichokisema Iron Lady, Samia.

Sasa, kuna hoja ya kipuuzi inaundwa na lile kundi lililoweka masharti ya kipuuzi ya kukutana na Msajili wa Vyama likidai, "Kwani ni kazi ya Shaka kuwaonya watendaji wa Serikali au kazi yake ni kueneza Itikadi ya chama?" Kwamba Shaka hana hayo Mamlaka.

Hoja dhaifu na ya kipuuzi sana. Iko hivi watani na wazoefu wa Mahakama, Serikali ya Samia ilipewa ridhaa na wananchi walioamua kuipa ushindi CCM. Kwamba, CCM ndiye mwenye duka na Serikali ni mwajiriwa tu.

Ni CCM ilimadi ilani yake 2020 na wananchi wakaikubali na kukichagua na hivyo kukipa ridhaa ya kuunda Serikali. CCM ni bosi wa Rais SSH.

Ifikapo 2025 Serikali ikiboronga umma utawauliza CCM na si Serikali. Hivyo CCM lazima ihakikishe Serikali yao inatekeleza walichoahidi wasije kukosa majibu 2025.

Shaka ni Msemaji wa chama. Kauli yake ina baraka zote za chama. Kwa mantiki hiyo anapoongea Shaka ni CCM wenye dhamana wameongea. Ndio maana anao uwezo wa kukagua miradi ya maendeleo yote ni kuhakikisha Serikali inatekeleza ilani yao.

Kazi ya Uenezi si kutangaza chama tu. By the way, nchi ni wapi CCM hakijulikani hadi ukakitangaze? CCM si chama chenye ngome upande fulani wa nchi kama kilivyo kile saccos ya babamke. Hapana.

Hizi 1.3 Trilioni zitanufaisha wananchi wote. Hakuna atakayebanwa mbavu kwa Covid-19 akanyimwa mtungi wa oksijeni kisha yeye ni Ufipani, hapana. Kwa hiyo sote tuunge mkono kauli ya Shaka, ina tija kwetu.

#MguseMamaNinuke

View attachment 1973918
 
HOJA HII DHIDI YA SHAKA NI UPUUZI

Na Bollen Ngetti

RAIS SSH katika kukwamua uchumi uliodorora kufuatia janga la Covid-19 na matumizi ya hovyo ya Fedha za umma ametafuta na kupata 1.3 Trilioni kutoka IMF.

Fedha ambayo ameelekeza kutumika hapa hapa nchini kwenye miradi ya maendeleo na hivyo pesa yote hii itazunguka humu humu nchini. Lakini akasema, "wengi wanajua mimi ni mweupe hapana, ukitaka kujua rangi yangu halisi wewe dokoe fedha hizi". Hii ni salaam.

Lakini, haikuishia hapo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Ndugu Shaka Hamidu Shaka naye akapigilia msumari wa moto, "ole wake atakayejaribu kudokoa fedha hizi kinyume na maelekezo ya matumizi yake, atakutana na rungu la usoni". Kwamba Shaka anasisitiza alichokisema Iron Lady, Samia.

Sasa, kuna hoja ya kipuuzi inaundwa na lile kundi lililoweka masharti ya kipuuzi ya kukutana na Msajili wa Vyama likidai, "Kwani ni kazi ya Shaka kuwaonya watendaji wa Serikali au kazi yake ni kueneza Itikadi ya chama?" Kwamba Shaka hana hayo Mamlaka.

Hoja dhaifu na ya kipuuzi sana. Iko hivi watani na wazoefu wa Mahakama, Serikali ya Samia ilipewa ridhaa na wananchi walioamua kuipa ushindi CCM. Kwamba, CCM ndiye mwenye duka na Serikali ni mwajiriwa tu.

Ni CCM ilimadi ilani yake 2020 na wananchi wakaikubali na kukichagua na hivyo kukipa ridhaa ya kuunda Serikali. CCM ni bosi wa Rais SSH.

Ifikapo 2025 Serikali ikiboronga umma utawauliza CCM na si Serikali. Hivyo CCM lazima ihakikishe Serikali yao inatekeleza walichoahidi wasije kukosa majibu 2025.

Shaka ni Msemaji wa chama. Kauli yake ina baraka zote za chama. Kwa mantiki hiyo anapoongea Shaka ni CCM wenye dhamana wameongea. Ndio maana anao uwezo wa kukagua miradi ya maendeleo yote ni kuhakikisha Serikali inatekeleza ilani yao.

Kazi ya Uenezi si kutangaza chama tu. By the way, nchi ni wapi CCM hakijulikani hadi ukakitangaze? CCM si chama chenye ngome upande fulani wa nchi kama kilivyo kile saccos ya babamke. Hapana.

Hizi 1.3 Trilioni zitanufaisha wananchi wote. Hakuna atakayebanwa mbavu kwa Covid-19 akanyimwa mtungi wa oksijeni kisha yeye ni Ufipani, hapana. Kwa hiyo sote tuunge mkono kauli ya Shaka, ina tija kwetu.

#MguseMamaNinuke

View attachment 1973918

FB_IMG_1634203430096.jpg
 
Bolleni Ngeti baada ya kubatizwa kwa moto na uncle Magu sasa kahamia timu Wakojani. Bila shaka huyu Bolleni hawajui Wakojani walivyo na roho mbaya na wabinafsi. Kule Zenji utasikia yule mpemba, yule muunguja, yule mmakunduchi, huyo mtu wa bara au chogo.
 
Ukikosa kazi bora ulale kuliko kuja kutapikia huku jukwaani.
 
Angemuachia Katibu ama Makamo Mwenyekiti bara'apigilie huo msumari wa moto. Kwa kufanya hivyo inaonesha CCM amri zake zinatolewa na viongozi Wazanzibari tu Watanganyika wamebakia na Uongozi wa vyeo jina tu. Namba zinaongea.
 
HOJA HII DHIDI YA SHAKA NI UPUUZI

Na Bollen Ngetti

RAIS SSH katika kukwamua uchumi uliodorora kufuatia janga la Covid-19 na matumizi ya hovyo ya Fedha za umma ametafuta na kupata 1.3 Trilioni kutoka IMF.

Fedha ambayo ameelekeza kutumika hapa hapa nchini kwenye miradi ya maendeleo na hivyo pesa yote hii itazunguka humu humu nchini. Lakini akasema, "wengi wanajua mimi ni mweupe hapana, ukitaka kujua rangi yangu halisi wewe dokoe fedha hizi". Hii ni salaam.

Lakini, haikuishia hapo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Ndugu Shaka Hamidu Shaka naye akapigilia msumari wa moto, "ole wake atakayejaribu kudokoa fedha hizi kinyume na maelekezo ya matumizi yake, atakutana na rungu la usoni". Kwamba Shaka anasisitiza alichokisema Iron Lady, Samia.

Sasa, kuna hoja ya kipuuzi inaundwa na lile kundi lililoweka masharti ya kipuuzi ya kukutana na Msajili wa Vyama likidai, "Kwani ni kazi ya Shaka kuwaonya watendaji wa Serikali au kazi yake ni kueneza Itikadi ya chama?" Kwamba Shaka hana hayo Mamlaka.

Hoja dhaifu na ya kipuuzi sana. Iko hivi watani na wazoefu wa Mahakama, Serikali ya Samia ilipewa ridhaa na wananchi walioamua kuipa ushindi CCM. Kwamba, CCM ndiye mwenye duka na Serikali ni mwajiriwa tu.

Ni CCM ilimadi ilani yake 2020 na wananchi wakaikubali na kukichagua na hivyo kukipa ridhaa ya kuunda Serikali. CCM ni bosi wa Rais SSH.

Ifikapo 2025 Serikali ikiboronga umma utawauliza CCM na si Serikali. Hivyo CCM lazima ihakikishe Serikali yao inatekeleza walichoahidi wasije kukosa majibu 2025.

Shaka ni Msemaji wa chama. Kauli yake ina baraka zote za chama. Kwa mantiki hiyo anapoongea Shaka ni CCM wenye dhamana wameongea. Ndio maana anao uwezo wa kukagua miradi ya maendeleo yote ni kuhakikisha Serikali inatekeleza ilani yao.

Kazi ya Uenezi si kutangaza chama tu. By the way, nchi ni wapi CCM hakijulikani hadi ukakitangaze? CCM si chama chenye ngome upande fulani wa nchi kama kilivyo kile saccos ya babamke. Hapana.

Hizi 1.3 Trilioni zitanufaisha wananchi wote. Hakuna atakayebanwa mbavu kwa Covid-19 akanyimwa mtungi wa oksijeni kisha yeye ni Ufipani, hapana. Kwa hiyo sote tuunge mkono kauli ya Shaka, ina tija kwetu.

#MguseMamaNinuke

View attachment 1973918
Bi Mkubwa wa Mombasa hukosi vituko? Hapa ndo unaona umemwaga points?
 
Kwamba ccm ilinado sera kwa wananchi na kuchaguliwa halo 2020 hilo halina ukweli wowote bwana ngeti. Ukweli ni kwamba=
1. Kura za magufuli na wabunge wake zilipigwa siku 2 kabla ya uchaguzi mkuu ( ofisi ya ccm kinondoni watoto/ vijana waliitwa wakapige Kura kabla ya zoezi lenyewe) waliahidiwa 5000/= na hawakupewa mpaka leo ( mdogo wangu alishiriki)
2. Vituo nchi nzima vilifunguliwa saa 9 usiku. Wasimamizi wa Vituo wakishirikiana na DSOs walitumbukiza maburungutu ya kura zilizokwishapigwa kwenye masanduku. Walikuwepo wapigakura wengine ambao walikuja kama wapiga kura lakini walikuwa na kura zilizopigwa ! Hawa walikuwa watumishi wa umma lakini ni makada wa ccm ( nililishuhudia hili kwenye kituo nlichosimamia mm huko pwani)
KATIKA HALI HII CCM ILISHINDA WAPI?????????
 
Back
Top Bottom