Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Wadadisi wa mambo wanabainisha kuwa mkakati kujisafisha uliobuniwa na waathirika wakuu wa sakata la Richmond/Dowans unavyo vipengere vinne;
kipengere cha kwanza kilikuwa cha kumpata spika anayeunga mkono kundi hilo;
kipengere cha pili ni kupata njia ya kuwasilisha tena hoja hiyo bungeni baada ya kuhitimishwa rasmi katika bunge lililopita,hii ndiyo kazi inayotarajiwa kutekelezwa na mh Kafulila, pengine baada ya kuandaliwa na Zitto;
kipengere cha tatu tatu ni kupata idadi ya kutosha ya wabunge watakao azimia kufanyia suala hilo uchunguzi mpya pinde suala hilo litakapo wasilishwa bungeni, inasemekana idadi hiyo ilkwisha patikana;
kipengere cha nne ni kuteka hisia za watu ili wafikirie kwamba serikali hatua ya kufanyia uchunguzi tena suala hilo imetokana na kubanwa kwa serikali, hiyo ndiyo kazi inayofanywa sasa na UVCCM
kipengere cha kwanza kilikuwa cha kumpata spika anayeunga mkono kundi hilo;
kipengere cha pili ni kupata njia ya kuwasilisha tena hoja hiyo bungeni baada ya kuhitimishwa rasmi katika bunge lililopita,hii ndiyo kazi inayotarajiwa kutekelezwa na mh Kafulila, pengine baada ya kuandaliwa na Zitto;
kipengere cha tatu tatu ni kupata idadi ya kutosha ya wabunge watakao azimia kufanyia suala hilo uchunguzi mpya pinde suala hilo litakapo wasilishwa bungeni, inasemekana idadi hiyo ilkwisha patikana;
kipengere cha nne ni kuteka hisia za watu ili wafikirie kwamba serikali hatua ya kufanyia uchunguzi tena suala hilo imetokana na kubanwa kwa serikali, hiyo ndiyo kazi inayofanywa sasa na UVCCM