Hoja 28 za Juma Duni Haji

Hoja 28 za Juma Duni Haji

Nondo kweli kweli nimezisoma chache zingine nitazimalizia baada ya game za basketball. Lipumb anatakiwa aingizwe kwenye ile list ya kupinga ujinga, maradhi na makazi mabaya
Lipumba kutoka Mkoani Tabora,utadhani alizaliwa pale Tabora station ya gari moshi.
 
Huyo Duni anaweza ongoza kwa karatasi tu, alikabidhiwa wizara ya Afya Zanzibar mbona hakuonyesha matumaini kwa wana Zanzibar.
Bora akae kimya

Uliokuwa UWAZIRI WA AFYA wa Mh Juma Duni Haji hauna tofauti na umeya wa Dar es Salaam chini ya UKAWA!! Jee unafikiri CCM wataruhusu UKAWA wafanye vizuri katika kuliongoza jiji ilhali wanatambua kwa kuwaruhusu kufanya hivyo ni kujimaliza wenyewe!!??

Vivyo hivyo kwa Mh. Duni, yeye alikuwa waziri tu wa afya ambae hakuwa na hela za bajeti ya wizara yake ya afya Kutoka mfukoni mwake!! Wizara yake ilihitaji pesa Kutoka serikali kuu ambayo ilikuwa chini ya CCM hivyo walimkwamisha kwa kila alilopanga kulifanya
 
Uliokuwa UWAZIRI WA AFYA wa Mh Juma Duni Haji hauna tofauti na umeya wa Dar es Salaam chini ya UKAWA!! Jee unafikiri CCM wataruhusu UKAWA wafanye vizuri katika kuliongoza jiji ilhali wanatambua kwa kuwaruhusu kufanya hivyo ni kujimaliza wenyewe!!??

Vivyo hivyo kwa Mh. Duni, yeye alikuwa waziri tu wa afya ambae hakuwa na hela za bajeti ya wizara yake ya afya Kutoka mfukoni mwake!! Wizara yake ilihitaji pesa Kutoka serikali kuu ambayo ilikuwa chini ya CCM hivyo walimkwamisha kwa kila alilopanga kulifanya
Sasa kama walijua kuwa hawatafanya kitu mbona bado yupo ktk kiti cha umea so mngatuke,

Mlizani kuongoza kwa Maneno ni sawa na kuongoza kihalisia, je kitu gani ambacho ccm wanamzuiya Meya.
 
hv huyu si ndo aliyesema ndan ya chadema wote ni kambale?
Duni Haji kAJENGA hoja zinazojichanganya,au uelewa wangu mdogo.Kwa hiyo anakiri kuwa bila Pro.Lipumba kuachia ngazi UKAWA ingeshinda na malalamiko yao kuwa CCM iliwaibia zilikuwa mbwembwe tu.
Alikuwa Chama makini kama mgombea mwenza wakati wa uchaguzi ili kuimarisha UKAWA.Uchaguzi ulipoisha na matokeo yakawa tofauti na matarajio karudi mahali pake, nani mwenye akili timamu asiye mwanachama wa chama chochote cha siasa anaweza kumwamini na kumkabidhi uongozi wa nchi mtu wa aina hii.

Mnapojenga hoja pimeni idadi ya mlio katika vyama vya Siasa na idadi ya wapiga kura wasio wanachama wa chama chochote na maamuzi yao.
 
Mpaka Leo hatuna mshauri Wa uchumi anayewasaidia watu mbalimbali nchini,Lipumba angejenga consultancy kubwa ya kiuchumi ambayo ningekuwa inashauri Governmental na non Governmental na non Governmental organi za nje na ndani na nje ya nchi,achilia mbali watu binafsi,angekuwa anafanya seminar mbali mbali ndani na nje ya nchi,angekuwa pia anaandika vitabu na kuviuza kwa watu mbalimbalj,Lipumba angekuwa millionaire na angekuwa na repute kubwa,nadhani angekuwa kama Kiyosaki kwa bongo hii,siasa imepoteza hadhi na heshima ya Lipumba,Leo hii teja ana heshimika kuliko Lipumba amepoteza followers wengi Sana aliokuwa anawashawishi kwa elimu aliyonayo
 
Ficha ujinga wako, na usiingie humu tena
Mtaendelea kudanganywa na wanasiasa mpaka mkome, na ccm itatawala mpaka ichoke na bado pandikizi katika vyama watakuepo, na wataendelea kuwachezea akili zenu masinema na mamuvi mpaka mjitambue, akuna cha sijui babu nani wala pro, fanyeni vitu vingine ,bado vijana sana, fanyeni kazi Tanzania ni nchi yakipekee vitaondoka vyama vyote vikongwe vya nchi nyingine bt , kwa Tanzania bado sana ,mtaendelea kudanganywa na wanasiasa mpaka basi, tutakuweka ww tukikuchoka unaka pembeni tunaweka mwingine , ndugu zangu naombeni mfanye uchunguzi wa viongozi wa vyama vyenu , wengi ni waigizaji msidanganywe. Muvi linaendelea , 2020 tunawaletea pat 5 season 2. Gday
 
wanakula timing

CIg_gstVEAArRe_.jpg
 
Back
Top Bottom