Mpaka Leo hatuna mshauri Wa uchumi anayewasaidia watu mbalimbali nchini,Lipumba angejenga consultancy kubwa ya kiuchumi ambayo ningekuwa inashauri Governmental na non Governmental na non Governmental organi za nje na ndani na nje ya nchi,achilia mbali watu binafsi,angekuwa anafanya seminar mbali mbali ndani na nje ya nchi,angekuwa pia anaandika vitabu na kuviuza kwa watu mbalimbalj,Lipumba angekuwa millionaire na angekuwa na repute kubwa,nadhani angekuwa kama Kiyosaki kwa bongo hii,siasa imepoteza hadhi na heshima ya Lipumba,Leo hii teja ana heshimika kuliko Lipumba amepoteza followers wengi Sana aliokuwa anawashawishi kwa elimu aliyonayo