Hoja 28 za Juma Duni Haji

Hoja 28 za Juma Duni Haji

...bado natatizwa na tafsiri iliyopo, kwamba miezi miwili ya ujio wa lowassa ktk ukawa, kupitia chadema, ndio iliopelekea cuf kupata mafanikio ya kunyakua viti vya ubunge na udiwani, ktk maeneo ambayo, wafuatiliaji wa mambo tunakumbuka namna cuf ilivyokuwa imefanya juhudi za kujiimarisha ktk maeneo hayo , kitambo tokea 2010..! hakika ukitaka kumuua umbwa usiye mtaka, mpachike jina baya...lkn pia, dhambi ya kubagua, mkishaianza, huwa haiwaachi...itaendelea kuwatafuna tu ( chambilecho JKN)
Jitambue ucwe
Mafanikio ya cuf.. cdm.. nccr ni umoja wao na ndio kilio chetu miaka mingi tumekuomba.
Juhudi namafanikio ya cuf ni umoja huo.nje ya hapo viangalie vilivojitenga na ukawa je vimefanikiwa????
ucwe kama umebugia kikombe cha babu
 
....ni huyo! akijichora pia huku akijichezesha kizembe na kauli yake koko iliyomrejea mwenyewe, ya kifo cha mende....ni msomi wa aina ile ya kutojua hata athari za kujiuzulu uanachama wa chama chake, zilivyo pindi akiamua ''kurudi matimila'....huyu ni sehemu kabisa pia( kama walivyo kina lipumba, seif, lowassa,mbowe na hata sumaye na kingunge) ya aibu ya siasa za tanzania, kupitia wanasiasa koko!
Kama umemeza kikombe cha babu huwezi kumwelewa BabuDUNI hata uburuzwe vipi utabakia kuwa wa lumumba
 
Babu Duni mimi ninakusupport kwa asili Mia zote. Kuna home met na rafiki yangu mmoja amekataa kuitwa Dr au prof kwa sababu anadai wenye elimu hiyo wamemdhalilisha sana. Hata akiwa bar akiitwa Dr au prof anahama kwa sababu ya aibu waliyopakwa na watu wa aina hiyo. Mungu atusaidie sana
 
Juma duni ni mmoja wa watu smart waliopo Upinzani

God bless him
 
kuna watu wanadhani mafanikio ya cuf au Cdm yalikuja miezi miwili ya mwisho , na si jitihada ya kila chama , mikutano waliofanya, na kuhamasisha watu kujiandikisha pamoja na Ccm kuchokwa hasa kwenye rushwa kila kona , serikali za mitaa mbona Cuf na Cdm walifanya vizuri tu chini ya viongozi wao wa asili
kulikuwa kuna haja gani lowasa kuletwa wakati wagombea walikuwepo wenye sifa, na je baada ya kusaini makubaliano je yaliheshimiwa hasa yale ya kuachiana majimbo je yaliheshimiwa? matatiro alikosa jimbo je mr. duni hilo halikuumizi kama kiongozi wa juu wa chama .
ni ujinga kwa mwanafunzi aliyejiandaa na mtihani kisawa sawa kwa bahati nzuri /mbaya mtihani ukavuja kapata alama 42 halafu akajisifia kuwa hayo ni mafanikio . kwangu mim naona CUF walitakiwa wafanye vizuri zaidi ya hapo kwa kuwa ccm ilikuwa taabani na wanapaswa wajilaum wenyewe kwa hilo
Hoja zako sikubaliani nazo. Ilikuwaje watu wakawapigia kura Ukawa wakati mjenzi profesa amejitoa tena 2months before. Kama alikuwa asset watu wangehama naye then Ukawa wangepata kura kidogo.
 
Huyu ndiye yule alitoka CUF akaenda chadema akarudi tena CUF?
Ndio,na hilo liliweka usawa!Mgombea mwenza awe wa Cuf na katiba haikuruhusu aje na kofia hiyo hivyo akalazimika kuchukua kadi ya CDM kutimiza matakwa ya kikatiba!Cha msingi ni makubaliano!Hili sisi wafuasi tulilielewa,hatuna shida nalo!
 
Hoja zako sikubaliani nazo. Ilikuwaje watu wakawapigia kura Ukawa wakati mjenzi profesa amejitoa tena 2months before. Kama alikuwa asset watu wangehama naye then Ukawa wangepata kura kidogo.
Umemueleza vizuri!UKAWA ilipata nguvu ambayo si lipumba au Slaa ambao wangeweza kuiteteresha!
 
Duni ni kama aliesetiwa atoe hilo kombora baada ya kikao na lowassa jana.
Muda wote alikua wapi huyo Duni kuyasema hayo?
Siwezi kumuamini mtu kama Duni,kama aliweza kukipa kisogo chama chake kwa tamaa tu ya madaraka,nani ataamini bandiko lake ambalo linazidi kuimaliza kafu badala ya Lipumba
 
Kashajibiwa hizo hoja zake fb na sasa tutamuanika jinsi walivyopiga pesa za miradi ya cuf
Kupiga pesa za miradi ya CUF ndio kujibu hizo hoja 28? Lete huku hayo majibu, na wala kupiga pesa za miradi haiwezi kuwa majibu ya hizo hoja
 
Sisi cuf bara bado tuna imani na lipumba
Sema wewe Siyo sisi.
Mimi Mwanachama wa CUF Lakini Lipumba Simtambui Ruangwa Amekataliwa na Kuzomewa
11c0358d5eb3ad33f767a41426862ed6.jpg
 
Chama kilimpitisha kuwa mgombea ubunge huko unguja baada ya kukataa kuwa mgombea mwenza wa lipumba .Ila njaa na tamaa ikampeleka chadema kuwa mgombea mwenza wa lowasa.
Na hata mikutano yake ya mgombea mwenza alikuwa anazunguka na watu wa cuf ambao leo wanataka kuvuliwa uanachama akina mnyaa.
Na alizunguka nao mpaka ikafikia wakati anataka kususa sbb migogoro ya majimbo ilikuwa kila mahali.
7000
 
Haya yote umeyataka wewe Lipumba, ona sasa huyu mtu Duni anavyotutukana Watanganyika wote...., eti hatuna akili sisi na viongozi wetu kwa kulaghaiwa na mzee wa Loliondo, wkt si watanganyika wote tulioamini ule upuuz! lakini hapa tumetiwa kapu moja.
 
Jana tumesibitishiwa lipumba ni mradi wa ccm, alivo zezeta akakubali kwenda
 
Ama kweli PhD za kutunikiwa zina mashaka yaani hata asoenda shule anajua kwamba Prof anatumiwa kama mwiko was pilau malipo yake kung'ara kwa mafuta. Ama kweli Mungu hamfichi MNAFIKI.
 
Babu kashusha nondo. Na leo nimefahamu hazina ya wazee iliyopo upinzani. M
zee anajenga hoja huku akiongozwa na takwimu. Prof avuliwa nguo na kuinamishwa
Huyo Duni anaweza ongoza kwa karatasi tu, alikabidhiwa wizara ya Afya Zanzibar mbona hakuonyesha matumaini kwa wana Zanzibar.
Bora akae kimya
 
Back
Top Bottom