Jitambue ucwe...bado natatizwa na tafsiri iliyopo, kwamba miezi miwili ya ujio wa lowassa ktk ukawa, kupitia chadema, ndio iliopelekea cuf kupata mafanikio ya kunyakua viti vya ubunge na udiwani, ktk maeneo ambayo, wafuatiliaji wa mambo tunakumbuka namna cuf ilivyokuwa imefanya juhudi za kujiimarisha ktk maeneo hayo , kitambo tokea 2010..! hakika ukitaka kumuua umbwa usiye mtaka, mpachike jina baya...lkn pia, dhambi ya kubagua, mkishaianza, huwa haiwaachi...itaendelea kuwatafuna tu ( chambilecho JKN)
Kama umemeza kikombe cha babu huwezi kumwelewa BabuDUNI hata uburuzwe vipi utabakia kuwa....ni huyo! akijichora pia huku akijichezesha kizembe na kauli yake koko iliyomrejea mwenyewe, ya kifo cha mende....ni msomi wa aina ile ya kutojua hata athari za kujiuzulu uanachama wa chama chake, zilivyo pindi akiamua ''kurudi matimila'....huyu ni sehemu kabisa pia( kama walivyo kina lipumba, seif, lowassa,mbowe na hata sumaye na kingunge) ya aibu ya siasa za tanzania, kupitia wanasiasa koko!
wa lumumbaHoja zako sikubaliani nazo. Ilikuwaje watu wakawapigia kura Ukawa wakati mjenzi profesa amejitoa tena 2months before. Kama alikuwa asset watu wangehama naye then Ukawa wangepata kura kidogo.kuna watu wanadhani mafanikio ya cuf au Cdm yalikuja miezi miwili ya mwisho , na si jitihada ya kila chama , mikutano waliofanya, na kuhamasisha watu kujiandikisha pamoja na Ccm kuchokwa hasa kwenye rushwa kila kona , serikali za mitaa mbona Cuf na Cdm walifanya vizuri tu chini ya viongozi wao wa asili
kulikuwa kuna haja gani lowasa kuletwa wakati wagombea walikuwepo wenye sifa, na je baada ya kusaini makubaliano je yaliheshimiwa hasa yale ya kuachiana majimbo je yaliheshimiwa? matatiro alikosa jimbo je mr. duni hilo halikuumizi kama kiongozi wa juu wa chama .
ni ujinga kwa mwanafunzi aliyejiandaa na mtihani kisawa sawa kwa bahati nzuri /mbaya mtihani ukavuja kapata alama 42 halafu akajisifia kuwa hayo ni mafanikio . kwangu mim naona CUF walitakiwa wafanye vizuri zaidi ya hapo kwa kuwa ccm ilikuwa taabani na wanapaswa wajilaum wenyewe kwa hilo
Ndio,na hilo liliweka usawa!Mgombea mwenza awe wa Cuf na katiba haikuruhusu aje na kofia hiyo hivyo akalazimika kuchukua kadi ya CDM kutimiza matakwa ya kikatiba!Cha msingi ni makubaliano!Hili sisi wafuasi tulilielewa,hatuna shida nalo!Huyu ndiye yule alitoka CUF akaenda chadema akarudi tena CUF?
Umemueleza vizuri!UKAWA ilipata nguvu ambayo si lipumba au Slaa ambao wangeweza kuiteteresha!Hoja zako sikubaliani nazo. Ilikuwaje watu wakawapigia kura Ukawa wakati mjenzi profesa amejitoa tena 2months before. Kama alikuwa asset watu wangehama naye then Ukawa wangepata kura kidogo.
Fikra za kitumwa hizo. Bara ndiyo nchi gani?Sisi cuf bara bado tuna imani na lipumba
Kupiga pesa za miradi ya CUF ndio kujibu hizo hoja 28? Lete huku hayo majibu, na wala kupiga pesa za miradi haiwezi kuwa majibu ya hizo hojaKashajibiwa hizo hoja zake fb na sasa tutamuanika jinsi walivyopiga pesa za miradi ya cuf
Sema wewe Siyo sisi.Sisi cuf bara bado tuna imani na lipumba
7000Chama kilimpitisha kuwa mgombea ubunge huko unguja baada ya kukataa kuwa mgombea mwenza wa lipumba .Ila njaa na tamaa ikampeleka chadema kuwa mgombea mwenza wa lowasa.
Na hata mikutano yake ya mgombea mwenza alikuwa anazunguka na watu wa cuf ambao leo wanataka kuvuliwa uanachama akina mnyaa.
Na alizunguka nao mpaka ikafikia wakati anataka kususa sbb migogoro ya majimbo ilikuwa kila mahali.
to replay or to rewind?be the first to replay...
Hahahahahahhahaha!to replay or to rewind?
Huyo Duni anaweza ongoza kwa karatasi tu, alikabidhiwa wizara ya Afya Zanzibar mbona hakuonyesha matumaini kwa wana Zanzibar.Babu kashusha nondo. Na leo nimefahamu hazina ya wazee iliyopo upinzani. M
zee anajenga hoja huku akiongozwa na takwimu. Prof avuliwa nguo na kuinamishwa