Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
[TABLE="width: 491"]
[TR="bgcolor: #E1E1E1"]
[TD]KUMEZUKA KUNDI Hatari linalojiita Makhirikhiri katika visiwa vya Ukerewe huko Ziwa Viktoria ambalo linahatarisha maisha ya watu kwa kuwachinja na kisha kuchukua viungo.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Kundi hilo linawateka watu umbali mrefu na kisha kuwachinja na hatimaye kuchukua viungo wanavyohitaji katika mwili huo
Imedaiwa kuwa, hali ni mbaya kwa kuzuka kwa watu ambapo sasa wakazi wa maeneno hayo kupatwa na hofu ya uhai wao kutokana na utekwaji hovyo wa watu kiunyama
Imedaiwa kundi hilo hutumia mbinu mbalimbali ikiwemo kuteka mabasi, pikipiki ya abiria na kisha kuamrisha vyombo hivyo kwenda wanapopahitaji na kisha kuchinja watu kinguvu na kujipatia viungo
Tayari watu kadhaa wameshatekwa na kuuawa na kundi hilo na kujipatia viungo na kudaiwa kundi hilo hata mchana wa jua kali hutembea na kuteka watu huku wakiwa na silaha
Moja ya viungo vinavyohitajika mara baada ya kuchinja mtu kikiwemo kichwa,Mikoni pamoja na sehemu za siri ndio viungo vikubwa wanavyohitaji watu hao[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hofu yatanda Ukerewe
[TR="bgcolor: #E1E1E1"]
[TD]KUMEZUKA KUNDI Hatari linalojiita Makhirikhiri katika visiwa vya Ukerewe huko Ziwa Viktoria ambalo linahatarisha maisha ya watu kwa kuwachinja na kisha kuchukua viungo.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Kundi hilo linawateka watu umbali mrefu na kisha kuwachinja na hatimaye kuchukua viungo wanavyohitaji katika mwili huo
Imedaiwa kuwa, hali ni mbaya kwa kuzuka kwa watu ambapo sasa wakazi wa maeneno hayo kupatwa na hofu ya uhai wao kutokana na utekwaji hovyo wa watu kiunyama
Imedaiwa kundi hilo hutumia mbinu mbalimbali ikiwemo kuteka mabasi, pikipiki ya abiria na kisha kuamrisha vyombo hivyo kwenda wanapopahitaji na kisha kuchinja watu kinguvu na kujipatia viungo
Tayari watu kadhaa wameshatekwa na kuuawa na kundi hilo na kujipatia viungo na kudaiwa kundi hilo hata mchana wa jua kali hutembea na kuteka watu huku wakiwa na silaha
Moja ya viungo vinavyohitajika mara baada ya kuchinja mtu kikiwemo kichwa,Mikoni pamoja na sehemu za siri ndio viungo vikubwa wanavyohitaji watu hao[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hofu yatanda Ukerewe