mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Hofu ya serikali kuwa Chadema wana agenda ya kuiondoa madarakani inapaswa kuangaliwa vizuri..Maswali yafuatayo ni muhimu:
· Ni kwa nini wananchi wameaua kuungana na CHADEMA kuandamana?
· Je tatizo ni hiyo nia ya CHDEMA au ni hizo sababu za wananchi kuandamana?
· Kama nia ya Chadema ni mbaya ni kwa nini wananchi wote hao wameshindwa kugundua hilo au wanapewa rushwa?
· Je suluhu ni kuwazuia CHDEMA au ni kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi?
· Na, Je,nini kifanyike kwa sasa kundoa hali hiyo ambayo inaonekana kuwa ni hatarishi?
· Ni kwa nini wananchi wameaua kuungana na CHADEMA kuandamana?
· Je tatizo ni hiyo nia ya CHDEMA au ni hizo sababu za wananchi kuandamana?
· Kama nia ya Chadema ni mbaya ni kwa nini wananchi wote hao wameshindwa kugundua hilo au wanapewa rushwa?
· Je suluhu ni kuwazuia CHDEMA au ni kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi?
· Na, Je,nini kifanyike kwa sasa kundoa hali hiyo ambayo inaonekana kuwa ni hatarishi?