Hofu ya kufilisika yamtanda Lowassa, adaiwa kushindwa kulipia kodi ya Pango PPF Tower

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
WanaJF,

Wanasema waswahili kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Huu msemo umejidhihirisha kwa Lowassa ambae amekuwa akitajwa kuwa ni moja ya watu matajiri Tanzania.

Utajiri huo wa Lowassa ambao wengi wanaamini ni wa magendo na dili za kuibia wananchi wa Tanzania, umeanza kupata mabalaa na kuhofiwa kupotea kabisa kabla ya sherehe za pasaka!

Wengi mnafahamu kuwa kampuni ya Alpha Dry Cleaners inamilikiwa na Lowassa na moja ya ofisi zao ipo PPF Tower kwenye basement. Kampuni hii ndio imekuwa chanzo kikuu cha mapato kwa Lowassa tangu atimuliwe kwenye nafasi ya uwaziri mkuu kwa kashfa ya ufisadi wa RICHMOND.

Taarifa zinasema kampuni hiyo ambayo sasa ndio uti wa mgongo wa Lowassa, imeanza kushindwa kujiendesha; Kwanza wafanyakazi wake hawajapata mshahara kwa miezi miwili hadi sasa na pili, kodi ya pango ambayo ilikwisha mwezi novemba, hadi leo haijalipwa kinyume kabisa na mkataba wa upangishaji. Hali hii imepelekea kampuni hiyo kupewa notisi ya siku 30 kufunga virago na kutoka kwenye jengo la PPF.

Aidha, taarifa zinasema kuwa mtikisiko huo wa biashara hiyo ya Lowassa, pamoja na mambo mengine, umetokana na kuchotwa kwa pesa nyingi ya kampuni hiyo na kutumika kwenye kugharamia uchaguzi wa urais...Maamuzi ambayo wafanyakazi wa kampuni na wadau wengine wanaamini yamehatarisha uhai wa kampuni hiyo kongwe inayojihusisha na ufuaji hapa nchini.

My take,

Kwanza nianze kwa kumpa pole mzee Lowassa kwa matatizo, lakini pia niseme: Huu ndio wakati wa kupima urafiki wa Mbowe na Lowassa. Natarajia kuona Mbowe anatumia sehemu ya lile fungu alilotorosha Uswizi na China (Pesa ya kuuza chama) kumsaidia Lowassa kulipa kodi ya pango na malimbikizo yote kwa maana notisi imetolea ya siku 30 tu.
 
Last edited:
hv wewe chuki zako unatoa wapi?? mtu unakaa na kuandikabmambo yasio kuhusu kisa eti ni lowassa. Kwa taarifa yako nobody cares afilisike au asifilisike hio ni mipango ya Mungu na Mungu atamsaidia maana kutwa watu washenzj kama ninyi wente roho mbaya kuwaombea mabaya watu wengine.
utakufa mapema kwa pressure we tumbili.
 
Genghiswaking post: 15060187 said:
Wengi wamefelisika kwenye uchaguzi wa mwaka 2014. Lakini lowassa bado anang'ombe na mitaji mingi.


Yaani katika wajinga na cheap thinkers bas wewe ni kondoo mamba Moja, lowasa anategemea dry cleaner? Hata kukujibu naona kichefu chef, kama hukuishia darasa la tatu sijui NA utakua mswahili mcheza ngoma wa msoga ww
 
Sikuwahi kumpenda Lowasa katika tambo zake za kuusaka ukuu wa nchi.
Lakini kwa hili siungi mkono kabisa katika kumsakama huyu mzee aiseeee....
Nivema sasa watanzania tufike wakati tuweke maswali ya Lowasa pembeni, na maisha yaendelee.
Tumuache sasa huyu mzee apumue, kwani kampeni zilikwisha na maisha yanaendelea
 
Masikini anapoomba Tajiri afilisike ili wote wawe masikini....ni hatari sana.naona hujui vyanzo vya mapato vya Mh....kaa kimya.

"Hapa kazi Tu....kama huna kazi ya kufanya isome namba,,,,,siyo kumuombea Mh. Lowasa huo upuuzi wako.
Kuna tatizo watu wakitoa habari? Hii ni kampuni kama ambavyo ilivyokuwa Home Shopping Centre na kama ilivyokuwa kwa makampuni mengine mengi yaliyo tangaza kufilisika (Mfano Uchumi Super market)..Ikiwa hii habari imekugusa pole sana...Lakini habari lazima zitangazwe.
 
MTOA POST ANAONEKANA NI MTU AMBAYE ANA TABIA ZA MAJUNGU MAJUNGU NA FITINA,
MARAFIKI KAMA HAWA NI KUOGOPWA KAMA UKOMAAA,

HEBU ANGALIA UCHAGUZI UMEISHA KILA KITU KIMEISHA WATU WANAENDELEA NA MAISHA YAO, WEWE
UMEANZA MAJUNGU KUMSAKAMA MZEE WA WATU, JELOUS PEOPLE NEVER WIN, KIJANA BADILIKA UKIWA
MTU WA FIITNA UJANANI UZEENI UTAKUWA MCHAWI
Kuhusu kusakama: Siku hizi mtu akieleza habari anatuhumiwa kusakama mtu? Kubenea unamuweka katika nafasi gani hapa na magazeti yake ya MwanaHalisi na Mawio na habari za kila siku kuhusu Zitto?
 
WanaJF,

Wanasema waswahili kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Huu msemo umejidhihirisha kwa Lowassa ambae amekuwa akitajwa kuwa ni moja ya watu matajiri Tanzania.

Utajiri huo wa Lowassa ambao wengi wanaamini ni wa magendo na dili za kuibia wananchi wa Tanzania, umeanza kupata mabalaa na kuhofiwa kupotea kabisa kabla ya sherehe za pasaka!

Wengi mnafahamu kuwa kampuni ya Alpha Dry Cleaners inamilikiwa na Lowassa na moja ya ofisi zao ipo PPF Tower kwenye basement. Kampuni hii ndio imekuwa chanzo kikuu cha mapato kwa Lowassa tangu atimuliwe kwenye nafasi ya uwaziri mkuu kwa kashfa ya ufisadi wa RICHMOND.

Taarifa zinasema kampuni hiyo ambayo sasa ndio uti wa mgongo wa Lowassa, imeanza kushindwa kujiendesha; Kwanza wafanyakazi wake hawajapata mshahara kwa miezi miwili hadi sasa na pili, kodi ya pango ambayo ilikwisha mwezi novemba, hadi leo haijalipwa kinyume kabisa na mkataba wa upangishaji. Hali hii imepelekea kampuni hiyo kupewa notisi ya siku 30 kufunga virago na kutoka kwenye jengo la PPF.

Aidha, taarifa zinasema kuwa mtikisiko huo wa biashara hiyo ya Lowassa, pamoja na mambo mengine, umetokana na kuchotwa kwa pesa nyingi ya kampuni hiyo na kutumika kwenye kugharamia uchaguzi wa urais...Maamuzi ambayo wafanyakazi wa kampuni na wadau wengine wanaamini yamehatarisha uhai wa kampuni hiyo kongwe inayojihusisha na ufuaji hapa nchini.

My take,

Kwanza nianze kwa kumpa pole mzee Lowassa kwa matatizo, lakini pia niseme: Huu ndio wakati wa kupima urafiki wa Mbowe na Lowassa. Natarajia kuona Mbowe anatumia sehemu ya lile fungu alilotorosha Uswizi na China (Pesa ya kuuza chama) kumsaidia Lowassa kulipa kodi ya pango na malimbikizo yote kwa maana notisi imetolea ya siku 30 tu.

Kwa Lowassa Alpha Dry Cleaners Alpha Dry Cleaners ni moja ya kakampuni kadogo sana kati ya lukuki za Lowassa, ilianza 1999 ikisimamiwa na Fred kabla ya kuanza kwa AlphaTel pale mtaa wa Ohio, Kumbuka hawa wameshika biashara za Nyumba za kupangisha, Maua kule Arusha, Ufugaji, uwekezaji katika masoko ya hisa, Ubia katika makampuni ya simu nk.

Kufirisika kwa sababu ya Uchaguzi hapana sababu kuna taarifa za uhakika za kuchangiwa na VodaCom South Africa mamilioni ya dola ili kufanikisha kampeni zake, ya kushuka kwa uzalishaji maana Alpha Dry Cleaners ililenga kazi kutoka Wafanyibiashara wakubwa, viongozi wa chama na Serikali
 
Kuhusu kusakama: Siku hizi mtu akieleza habari anatuhumiwa kusakama mtu? Kubenea unamuweka katika nafasi gani hapa na magazeti yake ya MwanaHalisi na Mawio na habari za kila siku kuhusu Zitto?



ACCORDING TO POST YAKO TUU IT DEFINES TUU WEWE NI MTU WA MAJUNGU MAJUNGU, TENA WA KUOGOPA KAMA UKOMA,

KUBENEA AND ZITTO WANAJUANA LICHA YA KUANDIKWA MAGAZETINI ILA WAKIKUTANA WANAONGEA KAMA MARAFIKI ILA SISI HUKU TUNAONA TOFAUTI
 
Lowasa yupi mkuu?
Kuna watu wana hela mpaka wanatamani waanzishe BOT yao akiwemo uyu Edo.
 
Kuhusu kusakama: Siku hizi mtu akieleza habari anatuhumiwa kusakama mtu? Kubenea unamuweka katika nafasi gani hapa na magazeti yake ya MwanaHalisi na Mawio na habari za kila siku kuhusu Zitto?
Itakua. Zittto anakupumulia si bure loo. We umezidi. Asee
 
Huyu mleta lawama chizi ana machungu makali Fulani au aliumizwa na lowasa mahali. Naanza kama kumhisi.
 
Lowassa anategemea dry cleaners..kama kuna majipu ya uwezo Mdogo wa kufikiria..ingekuwa vyema jamaa yako angeanza na wewe...Khaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom