JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Wewe comment tu , atakujibu kwa ID tofauti.Shida ya wewe ndugu yangu Zitto ni kuweka mada mezani kisha unatokomea kusikojulikana..
Nadhani ingekuwa vyema unapoweka au kuanzisha mjadala then kaa tuudadavue kwa pamoja siyo kuturushia tu halafu unapotea.. ukifanya hivyo unakuwa huna tofauti na yule bongo muvi aliyewarushia fedha waandishi kisha kabaki pembeni akiangalia wanavyovunjiana vifaa vyao vya thamani..
Anyway narudi kwa hoja yako soon... Acha vijana tuufaidi uwezo wako wa kudadavua mambo usibane..!!
BACK TANGANYIKA