warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,256
Tatizo la jiwe anataka kuunda ccm ya kwake itakayoabudu na kutukuza kila aina ya uchafu, sasa hawa ma bright hawakubaliani na huo ujuha.Isemwe ukweli tu, makundi hasimu na wenye mitazamo tofauti ndani ya CCM yamekuwepo toka enzi za Mwalimu.
Tofauti iliyopo saa ni kushindwa kwa Mwenyekiti kuyabalance makundi hayo kwa kuyapa vyeo, nyadhifa na hata kuyakusanya kwa dinner pamoja.
Kutumia mabavu si suluhisho maana hiyo italeta mtafaruku mbaya aidi.
Hivi kuna ubyaa gani Mwenyekiti akiwaita wale anaotofautiana nao ndani ya CCM, wakakaa pamoja, pasuliana ukweli behind closed doors na kutoka na tamko la Umoja?
Yanayoendelea yataliangamiza Taifa na Umoja wake kama tunavyolifahamu.