Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,065
- 22,758
Wahenga walisema ujanja kupata...wakati wa mwendazake viongozi na wanachama wa CCM kwa
kuonesha utii walifanya kama tunavyoshuhudia kwenye hii picha hapa chini.
Walipigana vikumbo kukabidhi akili zao kwa bwana mkubwa lakini kwa bahati mbaya bongo
ziliwekwa kwenye ndoo bila kuwekewa alama (label) ya kuonesha ubongo ni wa nani.
Baada ya bwana mkubwa kutangulia mbele ya haki ndipo wakazinduka na
kuzua taharuki kubwa kama invyoonekana hapa chini!
Wepesi wakawahi kwenye chumba zilikotunzwa hizo bongo kila moja akitwaa bongo lilo karibu. La haulaa,
kufumba na kufumbua bongo zimeisha! Matokeo ni minyukano tunayoishuhudia bungeni kwa sasa.
Ghafla elimu haina maana tena...kweli ujanja ni kupata na si kuwahi.
kuonesha utii walifanya kama tunavyoshuhudia kwenye hii picha hapa chini.
Walipigana vikumbo kukabidhi akili zao kwa bwana mkubwa lakini kwa bahati mbaya bongo
ziliwekwa kwenye ndoo bila kuwekewa alama (label) ya kuonesha ubongo ni wa nani.
Baada ya bwana mkubwa kutangulia mbele ya haki ndipo wakazinduka na
kuzua taharuki kubwa kama invyoonekana hapa chini!
Wepesi wakawahi kwenye chumba zilikotunzwa hizo bongo kila moja akitwaa bongo lilo karibu. La haulaa,
kufumba na kufumbua bongo zimeisha! Matokeo ni minyukano tunayoishuhudia bungeni kwa sasa.
Ghafla elimu haina maana tena...kweli ujanja ni kupata na si kuwahi.