Sasa mbona umeweka habari jukwaa la siasa?
What is political about this news?
mpaka mr.dhaifu aondoke madarakani ndio nchi itatulia,haya ndio matunda ya kampeni za udini zinazoendeshwa na ccm+cuf na mbado zitatugharimu sana.
Mbona makanisa ya KKKT tu ndo yenye yanayolengwa?kuna nini jimbo la mashariki na pwani?
Kagame kaanza.kazi yake
Muulize mr dhaifu aka mr smile aka mr firm without action!!!Sasa mbona umeweka habari jukwaa la siasa?
What is political about this news?
Lilikua ni Bomu ila Mungu kasaidia police wamepata taarifa mapema na kulitegua
Ni lazima wakristo wote wachukue nafasi ya kujilinda,wakipigwa nao wapige,jino kwa jino,
Una ushahidi?
Au wewe ndo uliweka?
Kifaa hicho huitwa RADISONDE kwa jina la Kitaalamu. Huwa kinatumwa juu angani kupima Upper Air na huweza kuanguka popote.ni kweli kabisa halikua bom kama waamini walivyodhani bali ni kifaa kitumikacho uwanja wa ndege ktk kupima hali ya hewa, hilo lilithibitishwa na polisi.
Ni lazima wakristo wote wachukue nafasi ya kujilinda,wakipigwa nao wapige,jino kwa jino,
Kwasababu ccm na CUF wanatumia dini kutuchonganisha
Sio bomu.
then hujui. makanisani tunapokea yoyote. na kama utahudhuria ibada mwisho huwa tunatangaza kwa walio wageni kujitambulisha kutusalimu. Msikitini ndio mnajuana ndio maana hata yule askari kanzu alishtukiwa wakati kavaa kanzu na kofia.Mimi ninavyojuwa makanisani ni tofauti na misikitini,wa makanisani wanajuwana,hawezi kuja wa kanisa jingine,kuja kufanya ibada kwenye kanisa jingine,huwa mnajuwana,Msikitini ndio kuna mwiingiliano,bila kujali watokea msikiti gani na wapi.Sasa inakuwaje mtu ambaye si muumini wa kanisa hilo,akaleta vitu vya hatari?Hebu jaribuni makanisani muweke kamati za ulinzi,mtagundua mengi yaliyojificha,kwa wenyewe kwa wenyewe.