Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,430
Hellow kuna mtu huku jamani nasalimia tu nlipitaga zamani nimeamua kuwajulia hali tena !
.........................nipo miye mwenzetu,duh naona nikae hapa getini niwasubirie wageni,kwani naona ndani nilishachelewa sana,ila hapa pazuri kwani wengi nimewaona,........................ulipita lini pande hiii?.....................,lakini pia wapo wengine utawaona tuu na kuwasikia ngoja tuwasubirie.............................,ila hujambo lakini................................,wk end ndo hiyo tena umeme si hakuna,........Hellow kuna mtu huku jamani nasalimia tu nlipitaga zamani nimeamua kuwajulia hali tena !
Ngoja nikae na wewe hapa hapa tuwapokee wageni..........................nipo miye mwenzetu,duh naona nikae hapa getini niwasubirie wageni,kwani naona ndani nilishachelewa sana,ila hapa pazuri kwani wengi nimewaona,........................ulipita lini pande hiii?.....................,lakini pia wapo wengine utawaona tuu na kuwasikia ngoja tuwasubirie.............................,ila hujambo lakini................................,wk end ndo hiyo tena umeme si hakuna,........