Karibu mremboHello JF members
Nimeingia leo Naomba mnipokee
Pouwa binti.Hello JF members
Nimeingia leo Naomba mnipokee
Unatokea Pemba?Ya nimimi
😉😉😉Karibu sana lakini angalia usimpende Extrovert huyu tumekula ubwabwa wa harusi yake wiki chache zilizopita
Pia huyu KENZY tumepeleka posa anakooa yangu wiki iliyopita.
Na huyu Behaviourist amekabidhiwa mwali tumetoka kushiriki sendoff.
Bila kumsahau Ushimen huyu ni baba kijana ana cerebrery 50 anniversary ya ndoa yake, ifikapo DEC 25
Hah ha ha ha haaah
Tafadhwalu mashkurra.. JF ni bahari.Hello JF members
Nimeingia leo Naomba mnipokee
Ha ha h nimekuzibia riziki mzee wa fursa
Mwali, ebu mshauri huyu kijana anatakiwa atuheshimu baba zake humu ndani...😎😎Karibu sana lakini angalia usimpende Extrovert huyu tumekula ubwabwa wa harusi yake wiki chache zilizopita
Pia huyu KENZY tumepeleka posa anakooa yangu wiki iliyopita.
Na huyu Behaviourist amekabidhiwa mwali tumetoka kushiriki sendoff.
Bila kumsahau Ushimen huyu ni baba kijana ana cerebrery 50 anniversary ya ndoa yake, ifikapo DEC 25
Hah ha ha ha haaah
Me too nini lakini mbona hivi..?😅Karibu sana lakini angalia usimpende Extrovert huyu tumekula ubwabwa wa harusi yake wiki chache zilizopita
Pia huyu KENZY tumepeleka posa anakooa yangu wiki iliyopita.
Na huyu Behaviourist amekabidhiwa mwali tumetoka kushiriki sendoff.
Bila kumsahau Ushimen huyu ni baba kijana ana cerebrery 50 anniversary ya ndoa yake, ifikapo DEC 25
Hah ha ha ha haaah
Af we kichuna ww, ndio nini hii umetufanya 😍Karibu sana lakini angalia usimpende Extrovert huyu tumekula ubwabwa wa harusi yake wiki chache zilizopita
Pia huyu KENZY tumepeleka posa anakooa yangu wiki iliyopita.
Na huyu Behaviourist amekabidhiwa mwali tumetoka kushiriki sendoff.
Bila kumsahau Ushimen huyu ni baba kijana ana cerebrery 50 anniversary ya ndoa yake, ifikapo DEC 25
Hah ha ha ha haaah
Nawapeperushia njiwa daadeckAf we kichuna ww, ndio nini hii umetufanya 😍