libent JF-Expert Member Oct 29, 2011 382 84 Oct 29, 2011 #1 jamani mi ni msafiri natoka mbali sasa nimefika hapa kwa jf naomba mnifungulie ka mlango bajameni na mi niingie
jamani mi ni msafiri natoka mbali sasa nimefika hapa kwa jf naomba mnifungulie ka mlango bajameni na mi niingie
jockey emmanuel JF-Expert Member Mar 23, 2011 330 50 Oct 29, 2011 #2 karibu kwenye jamvi la walio makini mkuu...
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 28,906 10,535 Oct 29, 2011 #5 Karibu sana mwana hapa jukwaani.
libent JF-Expert Member Oct 29, 2011 382 84 Nov 7, 2011 Thread starter #15 nawashukuruni sana kwa kunikaribisha maana napata furaha ninapokuwa humu ndani