Hodi Zanzibar

Hodi Zanzibar

KAJOBO

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
408
Reaction score
350
Wasaalam wanajukwaa!

Nimeamua kwenda kujilipua Zanzibar hivyo kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu huu mji naomba uzoefu wake.

Kwa nini naenda Zanzibari? Jibu ni simple tu, naenda kutafuta maisha.

Nipeni uzoefu jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pako vizuri; bidii zako tu. Chochote utakachojihusisha nacho. Mie nmekaa sana huko, nlikuwa najishughurisha na kilimo. Pako vzur sna.
Wasaalam wanajukwaa!

Nimeamua kwenda kujilipua Zanzibar hivyo kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu huu mji naomba uzoefu wake.

Kwa nini naenda Zanzibari? Jibu ni simple tu, naenda kutafuta maisha.

Nipeni uzoefu jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom