Hodi wana CHADEMA

zejiame

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
235
Reaction score
76
kwanza kabisa ni binti ambaye nlikuwa sifuatilii mambo ya siasa.mwaka 2010 kidogo kupaa kwa cCHADEMA hakukunifanya niipende CHADEMA ila nilipenda tu slaa awe raisi wa nchi yangu.hivyo kwa mara ya kwanza nikapanga foleni kupiga kura.

Sikupiga kura sababu ya kuipenda CHADEMA bali sababu nilipenda slaa awe raisi.na baada ya slaa kutoingia ikulu nikarudi kuwa raia wa kawaida asiyejua taifa lake linakwenda wapi

.Ndipo katika pitapita yangu mtandaoni nikakutana na jamii forum na nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbalimbali zinazohusu siasa pia na kuona mengi yanayoihusu CHADEMA na CCM. kwa kweli leo nimeamua kuwa mguu sawa CHADEMA kwan nimeona kwa ccm kutumia muda mwingi kuichafua CHADEMA chama ambacho hakipo madarakan na wao kuacha kutupa tathmin ya nn wametufanyia hadi leo hii zaidi ya maisha bora waliyotuahidi kuwa bora maisha nimewaza nimeona CCM inacheza na akili za watanzania.....kama mwanamke ninayejitambua sasa nimeona niweke miguu yote CHADEMA mimi na familia yangu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA.
 
Aii!! yaani JF pekee ndiyo imekufanya uipende chadema???? usiwe laini kihivyo. Nenda kasome katiba za vyama vyote, katiba ya nchi, bible, koran pitia mitandao mbali mbali ya kijamii kisha wasikilize wengine mawazo yao halafu ndiyo ukae uchekeche kwa utulivu ndiyo ufanye uamuzi. Ninyi ndiyo kesho na kesho kutwa hamkawii kurudisha kadi
 

nn maana ya siasa?siwezi rudi nyuma trust me ntajifunza ntasimama ila kwa mtoto wa mkulima kama mimi ccm si pangu
 
wewe umesma vyote hvo au unapga filimb t
 
Karibu katika kupigania uhuru wa kweli wa nchi toka mkoloni CCM hakikisha unaelimisha na wanawake wenzako kujiunga na CHADEMA.
 
Karibu katika kupigania uhuru wa kweli wa nchi toka mkoloni CCM hakikisha unaelimisha na wanawake wenzako kujiunga na CHADEMA.

nakuahid kamanda wapo nyuma yangu lazima ifikie hatua wanawake tuwe makamanda wa kusaidia vizazi vyetu.
 
Wengi wanaanza hivi kumbe nguvu ya nape,baada ya siku mbili salar ya nape kunoga utasikia sitokaa niipende cdm,oooh nilipotea njia,narud magamban nk,hongera yako mie bado nafanya tathmin nijiunge wap
 
Karibu katika usafiri sahihi wa kulikomboa taifa letu
 
Karibu katika kupigania uhuru wa kweli wa nchi toka mkoloni CCM hakikisha unaelimisha na wanawake wenzako kujiunga na CHADEMA.

nina team nyuma yangu ya wale waliokuwa hawajafungamana kokote na wasiojua umuhimu wa kupiga kura ila kwa kuwa nimejua maisha ya mtu yanakwenda sambamba na siasa lazima 2015 hatuganyi makosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…