mbalakunze
Member
- Dec 14, 2013
- 8
- 1
Ninamshukuru Mungu kwa kuweza kujiunga nanyi humu.kwa ma great think..
nawaomba mnipokee na pia tuishi kama ndugu kwa upendo na umoja bila kujali itikadi zetu...
Asanteni sana na Mungu wangu awabariki
nawaomba mnipokee na pia tuishi kama ndugu kwa upendo na umoja bila kujali itikadi zetu...
Asanteni sana na Mungu wangu awabariki