Singida kuna JF members?
Just curious!
Jamani mwenzenu mimi ni wa kiume, nimehamishwa kikazi toka Dar es Salam kwenda wilaya ya Mkalama Singida. Nihitaji wenyeji na marafiki wapya mnipokee nizoee mapema!
Kulikoni kutolewa dar to mkalama
eeeh pole nimefanya kazi hapo ila sitaki kupakumbuka
Asee pole sanaHiyo ndo njia ambayo hutumiwa na serikali kuwaadhibu watumishi kwa kuwatoa town na kuwapeleka chaka.
Kulikoni kutolewa dar to mkalama
eeeh pole nimefanya kazi hapo ila sitaki kupakumbuka
Ulifanya kama nani idara gani?maana huku wageni hujulikana na kila ofisa wa serikali hutaka kula mzigo toka mjini
Mmh unataka unijue teh mwalimu
Asee pole sana
zamani ulikuwa waitwaje tena?
Mhh itakua nsha kulamba wewe chezea kijijini unafanya zero grazing
Nilikua pale MoEVT, na sasa ni teacher wa kawaida na ka Degree kangu.
Mi mwenyewe ntakuwa nshakulamba chezea walimu na heshima tulizonazo vijijini
Nilikua pale MoEVT, na sasa ni teacher wa kawaida na ka Degree kangu.