Hodi Singida!

Hodi Singida!

Jamani mwenzenu mimi ni wa kiume, nimehamishwa kikazi toka Dar es Salam kwenda wilaya ya Mkalama Singida. Nihitaji wenyeji na marafiki wapya mnipokee nizoee mapema!

Brother pole sana kwa kutupwa huko! Mi napajua vizuri. Kule hata usihangaike kwenda na ule usafiri wako maana hamna pa kuendeshea, barabara zote mashimo
. Ila nakuaminia kwa ku cope na mazingira. Na pia mitandao ya simu ni adimu, zile galaxy zako ni bora uchukie moja tu tena chagua inayotunza chaji maana hamna umeme. Mimi binafsi ntakumiss sana hasa katika deal zetu za Japan na China. Ila natumaini kazi uliyoenda kuifanya ikikamilika utarudi tena.
 
Brother pole sana kwa kutupwa huko! Mi napajua vizuri. Kule hata usihangaike kwenda na ule usafiri wako maana hamna pa kuendeshea, barabara zote mashimo
. Ila nakuaminia kwa ku cope na mazingira. Na pia mitandao ya simu ni adimu, zile galaxy zako ni bora uchukie moja tu tena chagua inayotunza chaji maana hamna umeme. Mimi binafsi ntakumiss sana hasa katika deal zetu za Japan na China. Ila natumaini kazi uliyoenda kuifanya ikikamilika utarudi tena.

Nimekusoma babaake ila wenyeji wa eneo hawataki kunikaribisha! Sjui lini nitazoea
 
Back
Top Bottom