Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Jan 27, 2012 #2 Umeingia chumba kisichokuwa chenyewe...... Karibu sana kuna chumba cha wageni hapo mbele kidogo nenda ukapate chai...
Umeingia chumba kisichokuwa chenyewe...... Karibu sana kuna chumba cha wageni hapo mbele kidogo nenda ukapate chai...
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,513 19,998 Jan 27, 2012 #3 unabisha hodi kabla hujakaribishwa ushaingia ndani!!rudi huko huko huna adabu.
MANI Platinum Member Feb 22, 2010 7,320 6,376 Jan 27, 2012 #4 Katavi said: Umeingia chumba kisichokuwa chenyewe...... Karibu sana kuna chumba cha wageni hapo mbele kidogo nenda ukapate chai... Click to expand... Ahsante kwa kumuelekeza kwenye hili jumba kubwa ndio maana wengi wanpotea vyumba !
Katavi said: Umeingia chumba kisichokuwa chenyewe...... Karibu sana kuna chumba cha wageni hapo mbele kidogo nenda ukapate chai... Click to expand... Ahsante kwa kumuelekeza kwenye hili jumba kubwa ndio maana wengi wanpotea vyumba !
REMSA JF-Expert Member Jan 25, 2012 2,579 947 Jan 27, 2012 Thread starter #6 Mkirua said: Karibu..... Click to expand... Asante saana
REMSA JF-Expert Member Jan 25, 2012 2,579 947 Jan 27, 2012 Thread starter #7 nyabhingi said: unabisha hodi kabla hujakaribishwa ushaingia ndani!!rudi huko huko huna adabu. Click to expand... Adabu ninayo,ndiyo maana nikabisha hodi ala!!!
nyabhingi said: unabisha hodi kabla hujakaribishwa ushaingia ndani!!rudi huko huko huna adabu. Click to expand... Adabu ninayo,ndiyo maana nikabisha hodi ala!!!
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Jan 27, 2012 #8 Karibu sana lakini wewe ni Jike au Dume?