Hodi jamvini

Ananani

New Member
Nov 9, 2010
2
0
Nimekuta mlango u wazi, nikasema mh, siachi kuingi hapa, MAANA INASEMWAA KUWA "KILICHO WAZI HAKIACHWI JAPO CHA MTU". Jamani hodiiiiiiii
 

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
476
Nimekuta mlango u wazi, nikasema mh, siachi kuingi hapa, MAANA INASEMWAA KUWA "KILICHO WAZI HAKIACHWI JAPO CHA MTU". Jamani hodiiiiiiii

Ina maana hukuniona? Basi labda nilikua nakata gogo Karibu mwaya
 

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,956
12,592
Karibu sana, licha ya kuwa umekuta mlango upo wazi lakini kuna sheria na kanuni za nyumba hii ambazo inabidi uzizingatie, ngoja nimtafute kaka PJ akupatie sijui kaenda mtaa gani!!
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom