B Ba Brio Member Mar 19, 2012 78 37 Mar 25, 2012 #1 Ndugu zanguni wake kwa waume wa hapa jf, naomba kukaribia jamvini. nimeshavua viatu nsije nkachafua jamvi.
Ndugu zanguni wake kwa waume wa hapa jf, naomba kukaribia jamvini. nimeshavua viatu nsije nkachafua jamvi.
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,440 Mar 25, 2012 #2 Afadhali umevua mwenyewe maana ungechafua lazma tungekumaliza kabisa Karibu sana Ba Brio