Hodi jamvini!

Ba Brio

Member
Mar 19, 2012
78
37
Ndugu zanguni wake kwa waume wa hapa jf, naomba kukaribia jamvini. nimeshavua viatu nsije nkachafua jamvi.
 
Afadhali umevua mwenyewe maana ungechafua lazma tungekumaliza kabisa
Karibu sana Ba Brio
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom