Habari ndugu zangu
NImekuwa ninasoma 'threads' zinazoandikwa na jinsi ambavyo watu wako makini katika kujadili mada muhimu zenye mustakbari wa Tanzania na jamii kwa ujumla. Binafsi nimevutiwa sana, na ningeomba niwe mwanafamilia. Tafadhali nikaribisheni
Bube