karibu hapa mtwivila.
hmm nilizan utasema kalenga!Alafu wewe unajificha sana, hebu tukutane Shooters this weekend basi tumpokee mgeni. Tupeane dressing codes thru PM basi ikiwezekana locations siku ya tukio sawa Mdada??
Usiogope siwezi kuji-handsamisha sawa??
Alafu wewe unajificha sana, hebu tukutane Shooters this weekend basi tumpokee mgeni. Tupeane dressing codes thru PM basi ikiwezekana locations siku ya tukio sawa Mdada??
Usiogope siwezi kuji-handsamisha sawa??
hmm nilizan utasema kalenga!
utampeleka twistaz au v.i.p?Hapo hovyo mkuu, tena kama mwanaJF mwenzangu nakushauri usifikie hapo pamechoka na service hazijatulia. Tena kuna vijiuizi siku hizi. Ni PM uwezo wako per night nikuelekeze sehem zilizotulia. Hapo shooters tutaenda for dinner, drinks and chatting, later we can go for clubing if you guys like (though sio kivile clubing but ndio kilichopo tuna-enjoy)
Karibu Iringa.
Nitavaa jinsi ya blue, na top ya kijani kata mikono.
Poa, ntatupia koti refu jeupe kama daktari, pensi ya njano na shati jekundu plus miwani ya kijani na kofia ya bluu!
Wakazi wa Iringa mpoo? Nategemea kuja huko mwishoni mwa wiki hii. Nipokeeni mgeni wenu
kuna jamaa zangu walienda field ilula, walipofika vijana wakawaambia daah! Afadhali mmekuja tusaidiane kugawana ukimwi, wale jamaa waliondoka bila kuzoeana na mtu yeyote! Take care.
nami nitakuwepo nitakuwa nimepiga pamba zangu kama kawaida.... kofia ya kijani, shati la kijani na suruali yangu nyeusi .....nitakaa kwenye kona....taratibu nashusha taska bariiiid.......:A S shade:Nitavaa jinsi ya blue, na top ya kijani kata mikono.
hahhaha
umenikumbusha,kihesa,mkimbizi,gangilonga,frelimo,ilala....wasalimie
bana....usiende mtwivila huko usafiri mgumu balaa