Hodi Ikwiriri

Hodi Ikwiriri

jiwe angavu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
22,266
Reaction score
43,042
NAtaka kuhamisha makazi na harakati zangu za maisha kiuchumi na kijamii naombeni muongozo.

Katika hali ya maisha,upatikanaji wa chakula,makazi,fursa za kiuchumi.

Kwasasa nipo Singida ila nataka nisogee ukanda wa pwani nikajitafute Wilaya ya Rufiji hususani ikwiriri imenivutia zaidi.

Pia naulia na mabasi ya kufika huko nikipata muongozo nitashukuru zaidi.
 
Mkuu, ukiwa pale Temeka au Rangi3 panda bus za Kilwa au Vyuma vyote vikali vinavyoenda mikoa ya Kusini then shuka pale Ikwiriri usipande zile Costa za Rangi3 to Ikwiriri zitakuchelewesha na zina vurugu pia. Ila kuwa Makini na El Nino hii inayokuja
Kwanini asubiri El nino
 
NAtaka kuhamisha makazi na harakati zangu za maisha kiuchumi na kijamii naombeni muongozo.

Katika hali ya maisha,upatikanaji wa chakula,makazi,fursa za kiuchumi.

Kwasasa nipo Singida ila nataka nisogee ukanda wa pwani nikajitafute Wilaya ya Rufiji hususani ikwiriri imenivutia zaidi.

Pia naulia na mabasi ya kufika huko nikipata muongozo nitashukuru zaidi.
Karibu ikwiriri kwa Mkwe,ujisikie upo home,ujiandae kulima chumvi pia,😁
 
Back
Top Bottom