Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,617
- 4,711
una umri gani kijana? pia umesikiliza sera za chadema?Mm nimemalza elmu ya kidato cha nne mwaka jana ila first selection mwaka huu sjapangiwa na nilipata dvsn 3 ya 25 AF combination n hkl sas naona second selection zmegma kutokaa huu mwaka