Chujio JF-Expert Member Jun 17, 2013 804 525 Jun 21, 2013 #1 hodi hodi uwanjani, kwa wa vioo vya rangi na wa viganjani, nakaribia uwanja wa nyumbani, ....niendelee? :redface:
hodi hodi uwanjani, kwa wa vioo vya rangi na wa viganjani, nakaribia uwanja wa nyumbani, ....niendelee? :redface:
Mapolomoko JF-Expert Member Feb 16, 2013 1,751 417 Jun 21, 2013 #2 we endeleatu, ila usiwaudhi watu wa humu, watakupa makavu mpaka ujute kuingia, wasome kwanza
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Jun 21, 2013 #5 Chujio said: hodi hodi uwanjani, kwa wa vioo vya rangi na wa viganjani, nakaribia uwanja wa nyumbani, ....niendelee? :redface: Click to expand... Endelea ila usivunje sheria za jf.
Chujio said: hodi hodi uwanjani, kwa wa vioo vya rangi na wa viganjani, nakaribia uwanja wa nyumbani, ....niendelee? :redface: Click to expand... Endelea ila usivunje sheria za jf.
kamtu33 JF-Expert Member Mar 15, 2012 999 405 Jun 21, 2013 #6 Karibu jamvini lakini vua viatu na ukae kwa adabu, karibu sana