Mwali karibu sana na wala usijisikie uoga maana unaweza jikuta kila siku unaogopa,jiamini na utaaminiwa hapa JFNawasalim wote JF members,
Mwali hapa, na mimi nimeona nijiunge nianze kuchangia sasa...
Naomba mnikaribishe sababu nina uoga kidogo kuongea kama sisaidiwi...
Asante AshaDii, nashukuru umekuja kunipokea... oa