Nimeingia rasmi jukwaani naomba mnipokee,nilikuwa nasuburi members wafike elfu arobaini..baada ya mimi kuingia wanakuja kama laki sasa,my take..mimi simo kwenye lile kundi.
Inawezekana kweli,ila atleast azma yangu imetimia,nlikuwa nataka kuiona jf ina more than 40,000 members..thanks mkuuHapana bana! umechakachua1 Baada ya board of directors ya JF kuangalia rekodi zake iligunduliwa wewe ni mwanachama wa 40,051 kujiunga na sio wa 40,000 kama ulivyodhani hahahahah lol!. Karibu sana jamvini Mkuu.