Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

Kaka huwezi kufyatua visivyofyatulika, huwezi kufanya visivyofanyika just because some Asimov, Wells, Hugo, Clarke or Adams ali pen a popular SF item back in the days.

Why should natural laws converge all the way to a single point? After all, even if you take the standard model of theoretical physics and it's big bang, ukasema big kila kitu tunachoweza kuki measure kinatoka katika point moja ya big bang, the big bang is a singularity by definition, and all known laws break down there.

It is an interesting proposition, I am even prepared to entertain the notion that all natural law stemmed from the same nugget of spacetime, but that does not mean we must be able to find something today that can encompass all.

DNA ya natural law katika cosmogony ina exhibit convergence, kama kuna somo tunaloweza kujifunza kutoka maisha ya Einstein ni kwamba kutafuta ku reconcile gravity na quantum physics (the holy grail of Grand Unified Theory) kwa technology yetu hii ya sasa ambayo haiwezi hata kutest string theory, ni kupoteza muda tu. Einstein angeweza kufanya mambo mengine mengi ya maana sana kama angeachana na hii illusion.

A grand unified theory was in the history of cosmogony, at the singularity, unless one can study a singularity sufficiently, hii habari ni more SF than science.

Now I know I meant it like " Mr. know it all" and not necesarily GUT per se, but you touched a subject I have much passion about, so there you are. It is sad when someone shows a little average knowledge, amongst ourselves he is taken to be "Mr. Know it all"

Those who know at least know that they don't know.

Mkuu hata hilo la kukomaa na hizo illusion lilikuwa la maana sana
 
Wewe BrantCawen huna adabu kweli,

Yaani umeenda kuichukua post yangu ya mwanzo kabisa niliyojitambulishia hapa na kuituma tena kwa jina lako, watu wengineutawachanganya wafikiri mie na wewe ni mtu mmoja.

Ingawa umenikumbusha mbali sana kwa kurudisha utambulishi wangu, nakuomba uieleze jamii wazi kwamba mimi na wewe ni watu tofauti, na labda utueleze ni kwa nini umerudisha post hii.


Original post iko hapa
https://www.jamiiforums.com/utambulisho-member-intro-forum/23684-hodi-hodi-kutoka-kwa-kiranga.html

hata mi nilianza kushangaa... nikadhani umemua kubadili ID na kuja kivingine katika hii 2011
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom