Mmh mbona unaonekana kama mwenyeji vile?!?anyway karibu mpaka chumbani!
Asante Kaunga mwaya, na wewe kuanzia leo napinga urafiki na wewe pasipo kupingulua. Sasa hebu niambie jografia ya humu maana naambiwa kuna ukaguzi mara maungamo ndo inakuwaje?? :confused2:
ukaguz upo wa aina nyingi sana,,,,kwanza tunataka kujua mali zako zisizohamishika zipoje?????kubwaaa au ndogo
Kaizer mi sijui kupm bwana..si unielekeze tu
Umenikumbusha The Boy is Mine-Monica &Brandy
Excuse me can I please talk to you for a minute?
Uh huh sure you know you look kinda familiar.
Yeah you do to, but I just wanted to know do you know somebody named?
Oh you know his name.
Oh yeah definitely I know his name.
Wakuu wa jukwaa heshima kwenu...naomba kukaribia humu, akina Kaunga, Kongosho, Preta The Boss, Babu Dark City na wengineo mnikaribishe.. lol nahisi nshakaribishwa..Asanteni.
Napenda kutumia nafasi hii kutoa shukrani kwenu wadau wa MMU, kwa uchache tu Kaunga unanivutia sana jinsi unavyochangia mada, Kongosho naipenda Avatar yako..the Boss your such a Gentleman, but pls usiuchakachue huu uzi wangu wa utambulisho, Babu Dc busara zako ni urithi kwa vizazi. Kwaajili ya ugeni wacha niishie hapa.
:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
Ngekewa hata mimi napenda kukaribishwa nao hao vijogoo...:whip: