duh,pole sana. tatizo unavamia jiji bila kugonga hodi, hamjui kuna wenyewe?
btw pole sana tatizo pia ulienda maskani ya vibaka kirumba resort na viunga vyake. hebu muulize Erickb52 alikuwa maeneo gani? ye alipofika aligonga hodi na kututafta wazee wa mji, alienjoyjeee!!!!!
duh,pole sana. tatizo unavamia jiji bila kugonga hodi, hamjui kuna wenyewe?
btw pole sana tatizo pia ulienda maskani ya vibaka kirumba resort na viunga vyake. hebu muulize Erickb52 alikuwa maeneo gani? ye alipofika aligonga hodi na kututafta wazee wa mji, alienjoyjeee!!!!!