Duzente Siqwente
JF-Expert Member
- Aug 6, 2012
- 265
- 59
Habarini za cku wana jamvi natumai mu wazima wa afya awali ya yote nimshukuru mungu anayenipa pumzi ya kila cku bila ujira wwte nilipata matatizo ya kuibiwa kila ki2 vikiwemo laptop,mobile , walets na ATM cards zote niliporudi mwnza nikiwa natokea ukerewe ila namshukuru mungu mm niko salama na hawakunijeruhi popote mwenyezi mungu ameniokoa na ninaendelea na majukumu ya kila sku.....asanteni sana na mungu awabariki sana