Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Unaweza ukai-caption picha utapata jibu...Why?
mkuu umenikumbusha mbali kweli yaanviatu vimelowa vumbi na vishalika upande kwenye kisigino.
Pole Mkuu, maisha ni stage.mkuu umenikumbusha mbali kweli yaan
Sasa kama wenzake wanabeti yeye hajisikii unataka naye abeti?